Utiwaji wa saini jana Ikulu
Rais George Bush (kushoto) wa Marekani na Rais Jakaya Kikwete wakitia saini msaada wa Millenium Challenge Compact Agreement Ikulu jana jijini Dar es Salaaam ambapo Marekani imetoa msaada wa dola za kimarekani $700 million kwa ajili ya kupambana na umasikini, malaria, ukimwi na uboreshwaji miundombinu,msaada huu ni mkubwa kuliko yote iliyowahi kutolewa na serikali ya Marekani kwa nchi za Africa.
Rais Bush na Kikwete jana Ikulu..

Rais Bush na Kikwete jana Ikulu..








Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam..


Rice..

Laura Bush..

Wageni..

ambapo serikali ya marekani imetoa msaada wa $700 million kwa Tanzania
picha na habari toka: http://haki-hakingowi.blogspot.com/
No comments:
Post a Comment