JWTZ kukiteka Anjouan?
Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakiongoza Majeshi ya Umoja wa Afrika wakiwa katika medani za kivita.JWTZ na Majeshi ya Umoja wa Afrika wanatarajiwa kukiteka kisiwa cha Anjouan wakati wowote kuanzia sasa. Picha kutoka AFP. Zaidi bofya hapa
No comments:
Post a Comment