Na Issa Mnally
Wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Abbas Kandoro akionekana kuwa kimya juu ya suala la akina dada kukubuhu katika ukahaba, biashara hiyo haramu imepamba moto katika sehemu mbalimbali za jijini, tofauti na ilivyokuwa katika kipindi cha utawala wa Mzee Yusuph Makamba...
Bofya hapa na endelea kusoma.............
No comments:
Post a Comment