JK, Mkapa atakutesa
VYOVYOTE iwavyo, kwa namna kashfa zinazomwandama sasa Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, zinavyomchafua, ndivyo pia zinavyomchafua Rais Jakaya Kikwete.
Historia ya kashfa za Mkapa ndiyo inayotufanya tuamini hivyo. Historia hiyo inaonyesha kwamba, Rais Kikwete amekuwa akifuatilia kwa karibu sana tuhuma anazoelekezewa Mkapa, baada ya kauli yake ya kutotaka Mkapa achunguzwe kupingwa na baadhi ya wananchi, wakiwamo wanasiasa wa kambi ya upinzani.
Bofya na endelea....
No comments:
Post a Comment