Mwisho wa matatizo ya
umeme Zanzibar
si leo wala kesho
Na Salma Said, Zanzibar
MTAALAMU wa umeme kutoka Kampuni ya Nexans ya Norway, Hakon Hamre amesema
kazi ya kuurejesha umeme visiwani Zanzibar ni ngumu na haijulikani lini itakamilika inahitaji umakini wa hali ya juu.
Mtaalamu huyo alisema hayo wakati akitoa maelezo kwa Naibu Waziri Kiongozi, Ali Juma Shamuhuna
Bofya na endelea>>>>>
No comments:
Post a Comment