Wednesday, June 04, 2008

Mwisho wa matatizo ya

umeme Zanzibar

si leo wala kesho



Na Salma Said, Zanzibar

MTAALAMU wa umeme kutoka Kampuni ya Nexans ya Norway, Hakon Hamre amesema

kazi ya kuurejesha umeme visiwani Zanzibar ni ngumu na haijulikani lini itakamilika inahitaji umakini wa hali ya juu.

Mtaalamu huyo alisema hayo wakati akitoa maelezo kwa Naibu Waziri Kiongozi, Ali Juma Shamuhuna


Bofya na endelea>>>>>



No comments: