Uswahiba huu wa Rais
Kikwete na Bw. Sinclair!
Lula wa Ndali-Mwananzela
KUNA tabia imeanza kuzoeleka na ambayo kwa hakika haina budi kukemewa, kubezwa, kupingwa, na kukataliwa na kila Mtanzania mwenye kupenda utawala wa uwazi na ushirikishwaji wa wananchi katika mjadala wa taifa lao.
Tabia hiyo ni ile ya wageni a.k.a. Wazungu kupata nafasi ya kujua kinachoendelea ndani ya serikali yetu kuliko sisi raia wenyewe - ni tabia ya ajabu na ya kushangaza.
No comments:
Post a Comment