Sunday, August 03, 2008



Hatimaye shindano la kumtafuta Miss Tanzania 2008-9 limefikia tamati usiku wa kuamkia leo kwa taji hilo kuchukuliwa na Nasreem Karim, mrembo mwenye umri wa miaka 22 kutoka Kanda ya ziwa, na hivyo kujitwalia 'mchuma' wa shilingi milioni 42, Grand Vitara. Nafasi ya pili imekwenda kwa Silvia Mashuda na nafasi ya tatu imeenda kwa Pendo David...!!!


MCHUMA WAENDA MWANZA!
Nasreem Karim, Miss Tanzania 2008-2009

MCHUMA WAENDA MWANZA!
Nasreem akiwa na Pendo David(kushoto) na Sylvia Mashuda

MCHUMA WAENDA MWANZA!
Shamra shamra za 'fireworks' baada ya kutangazwa mshindi,
chini ndiyo mchuma atakaokabidhiwa Miss Tanzania.

MCHUMA WAENDA MWANZA!


MCHUMA WAENDA MWANZA!
Mkurugenzi wa Masoko wa VODACOM, Ephrahim Mafuru(kulia) akimpongeza
Bw. Mukamu ambaye ndiye mwandaaji wa mashindano ya
Kanda ya Ziwa aliyetoa mshindi.

MCHUMA WAENDA MWANZA!
..umati wa wadau ukitawanyika.....

MCHUMA WAENDA MWANZA!

MCHUMA WAENDA MWANZA!

Nasreem Karim, 22 Yrs Old.
(PICHA ISSA MNALLY/GPL)

Courtsey of Global Publishers (Tanzania)


Jose Chameleone afanya
Mambo Miss Vodacom
Tanzania 2008

Mwanamuziki Jose Chameleone kutoka Uganda akifanya vitu vyake Usiku wa Kuamkia Leo kwenye Shindano la Miss Vodacom Tanzania 2008 kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam ambapo Mrembo Nasreem Karim kutoka kanda ya Ziwa aliibuka Mshindi baada ya kuwashinda Warembo wenzake 26 na kutawazwa Rasmi kushika Taji hilo kwa Mwaka huu..




No comments: