Mtikisiko Serikali
ya Jakaya Kikwete
Hofu ya kuhujumiwa yatanda
Vigogo kung’atuka ‘kiaina’
Vigogo kung’atuka ‘kiaina’
MISUKOSUKO ya mfululizo inayoikumba Serikali ya Rais Jakaya Kikwete inatishia kuwasukuma pembeni baadhi ya watendaji wakuu serikalini, Raia Mwema imeambiwa.
Habari za uhakika ambazo gazeti hili limezipata zinaonyesha kuwa, mbali na watendaji hao ambao wamekuwa wakitajwa katika tuhuma mbalimbali za ufisadi, hatua hiyo inalenga pia kupambana na hofu ya hujuma dhidi ya Serikali, na hasa Rais Kikwete mwenyewe wakati nchi inapoelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
No comments:
Post a Comment