Wednesday, September 17, 2008


Norway kutoa

Habari binafsi

Zako kwa

Marekani


Ukituma hela kutoka Norway kwenda sehemu yoyote duniani habari zako zinatumwa CIA


Ukiingia mtandaoni na kuvinjari kwenye tovuti yoyote, habari zako zinahifadhiwa na baadaye kutumwa Marekani


Makampuni ya ndege wanatoa habari zako binafsi pamoja na namba yako ya simu ya mkono na akaunti zako za benki kwa wale wanaosafiri kwenda Marekani.


Marekani na Norway ziko katika hatua za mwisho za kufikia makubaliano ya kubadilishana habari za watu binafsi katika mapambano dhidi ya ugaidi. Wiki iliyopita wawakilishi wa ngazi za juu wa serikali ya Norway na wawakilishi wa ngazi za juu wa Marekani walikutana mjini Washington kuzungumzia makubaliano. Juzi Jumatatu balozi wa Marekani nchini Norway, Bwana Benson K. Whitney alikutana na serikali ya Norway kuzungumzia hatua za mwisho za makubaliano hayo na baada ya kukutana na wawakilishi za ngazi za juu wa serikali ya Norway alikataa kuzungumza kiundani na waandishi wa habari.

Kwa  sisi tunaotuma hela nje ya Norway kwa kutumia Western Union, Money Gram, n.k, habari zetu zote zinapitiwa na shirika la ujasusi la Marekani, CIA. Kwa wale wanaoomba viza kwenda Marekani, serikali ya Norway inawajibika kutoa habari binafsi kwa serikali ya Marekani, kwa maneno mengine shirika la ujasusi la Marekani, CIA.


4 comments:

Anonymous said...

Goyim are mentally inferior to Jews and can’t run their nations properly. For their sake and ours, we need to abolish their governments and replace them with a single government. This will take a long time and involve much bloodshed, but it’s for a good cause. Here’s what we’ll need to do:

Place our agents and helpers everywhere
Take control of the media and use it in propaganda for our plans
Start fights between different races, classes and religions
Use bribery, threats and blackmail to get our way
Use Freemasonic Lodges to attract potential public officials
Appeal to successful people’s egos
Appoint puppet leaders who can be controlled by blackmail
Replace royal rule with socialist rule, then communism, then despotism
Abolish all rights and freedoms, except the right of force by us
Sacrifice people (including Jews sometimes) when necessary
Eliminate religion; replace it with science and materialism
Control the education system to spread deception and destroy intellect
Rewrite history to our benefit
Create entertaining distractions
Corrupt minds with filth and perversion
Encourage people to spy on one another
Keep the masses in poverty and perpetual labor
Take possession of all wealth, property and (especially) gold
Use gold to manipulate the markets, cause depressions etc.
Introduce a progressive tax on wealth
Replace sound investment with speculation
Make long-term interest-bearing loans to governments
Give bad advice to governments and everyone else
Eventually the Goyim will be so angry with their governments (because we’ll blame them for the resulting mess) that they’ll gladly have us take over. We will then appoint a descendant of David to be king of the world, and the remaining Goyim will bow down and sing his praises. Everyone will live in peace and obedient order under his glorious rule.

Anonymous said...

angalia hii
www.erichufschmid.net/MasqueradeParty_Part_1.wmv

Anonymous said...

Sasa kama Norway wamekubali hilo, Tanzania je? Tanzania ina ubavu kweli wa kuikatalia Marekani?

Anonymous said...

marekani akisema kitu kiwe kizuri au kibaya kinakubaliwa,ukikataa unaambiwa unafazil magaid kama baadh ya nchi kama iran,korea etc
ndiyo maana sikushangaa walivyomita mandela gaidi