Waziri Mkuu Raila
Ziarani Dar es Salaam
Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga akipita mbele ya gwaride maalum lililoandaliwa kwa ajili yake alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. JK Nyerere Dar es Salaam jana. Kulia kwa Odinga ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Abdalah Kihato. Picha kwa hisani ya Mrocki (Father Kidevu)
No comments:
Post a Comment