Thursday, October 16, 2008

Mraba wa Maggid Mjengwa


Hata tumbili hung'amuka


JUZI tuliadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya  Kifo cha Mwalimu Julius Nyerere miaka tisa iliyopita. Hakika, siku hii sasa imekuwa muhimu sana. Watanzania wanamkumbuka Mwalimu.

Baba wa Taifa alisimama upande wa wanyonge katika kila alilotenda. Alidhamiria kuwakomboa Watanzania kifikra ili waondokane na unyonge na umasikini wao. Hakika  alikuwa kiongozi wa kanuni, kilichokufa ni kiwiliwili, Nyerere na fikra zake vi hai katika mioyo ya Watanzania wengi.

Bofya na endelea>>>>>


No comments: