Thursday, October 02, 2008

Safari za Kikwete

nje utata mtupu



Lula wa Ndali-Mwananzela

Tukiweka utani wote pembeni, kejeli zote pembeni, na dhihaka zote pembeni, bado tunakabiliwa na swali moja muhimu: Ni kwanini Rais Jakaya Kikwete hawezi kukaa Dar  kwa angalau wiki tatu mfululizo bila kwenda nje ya nchi? 

Hivi ni kweli kuwa bila Rais Kikwete kwenda safari za nje ya nchi Taifa haliwezi kuendelea na bila ya yeye mwenyewe kufunga safari hizo, basi, misaada ya kigeni na uwekezaji hautafanyika nchini kama alivyoashiria Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, mapema mwaka huu?

Ninatatizwa, ninakerwa na niseme wazi kuwa baadhi ya ziara hizi haziingii akilini, na kwa hakika zinanifanya nianze kuhisi ninaishi katika ulimwengu wa kufikirika ambamo mambo yote yanawezekana.

Bofya na endelea>>>>>


No comments: