Tuesday, March 31, 2009

Hongera Mheshimiwa

Rais Jakaya Kikwete

na Mama Salma

kwa kutimiza miaka

20 ya Ndoa



Pichani ni Rais Jakaya Kikwete na mkewe Salma Kikwete wakikata keki kwa kutimiza Miaka 20 ya Ndoa kwenye sherehe fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni na kushuhudiwa na Ndugu Jamaa na Marafiki wa Karibu..


Rais Jakaya Kikwete akimlisha Keki Mkewe Salma Kikwete kw akutimiza Miaka 20 ya ndoa kwenye sherehe fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam jana jioni.

Picha na habari kwa hisani ya mdau:


No comments: