Friday, March 13, 2009






JIANDIKISHE SASA

MISS TANZANIA

EU 2009

Je wewe ni msichana mrembo

mwenye sifa zifuatazo:-


• Umri kati ya miaka 18 – 24


• Mtanzania unayeishi katika moja ya

nchi 27 za umoja wa Ulaya EU


• Tabasamu zuri, umbo zuri na mvuto,

nidhamu na ufahamu wa kujibu
maswali.
• Unauwezo wa kujieleza na kuwa

balozi wa nchi yako Tanzania


Tuma maombi yako ukiambatanisha

na picha :-


info@misstanzania.eu



MADHUMUNI YA MISS TANZANIA

EU NI PAMOJA NA:

• Kujenga uhusiano kati ya watanzania

wa ughaibuni na wale wa nyumbani
• Kuinua vipaji vya wasichana
• Kutangaza nchi yetu, kiutamaduni na kiutalii.
• Kutangaza na kutoa ajira kwa wasanii
• Kuelimisha na kuburudisha jamii.

maelezo zaidi piga simu :


+ 49 174 456 565644
   +49 1520 588 0836


No comments: