Wednesday, June 03, 2009

Baada ya mwaka mmoja

toka kufunguliwa,

uwanja waanguka nchini

Malaysia!!!


Uwanja wa Sultan Mizan Zainal kwenye kitongoji cha 
Gong Badak  mjini Kuala Lumpur


Paa la kushoto la uwanja wa Sultan Mizan Zainal  – Kuala Trengganu nchini Malaysia limeanguka jana. Bahati nzuri hakuna aliyejeruhiwa kwenye tukio hilo, licha ya kuwa kulikuwa na wafanyakazi 19 kazini paa lilipoanguka. Uwanja huo ni mpya kabisa. Ulifunguliwa mwaka jana. 


1 comment:

Jamaldeen T. Bin Mazar E. Shariff Ibn Zenjibari said...

Mambo yale yale kama Bongo vile!

Watu wamechukua mshiko wa uhakika, wakandarasi wamechotewa chao, wamejenga kwa vifaa hafifu. Matokeo yake ndiyo hayo!!!!