Wednesday, June 03, 2009

Bing.com

Search ingine mpya toka

Microsoft

 

 

http://www.bing.com

 

Bill na Melinda Gates

Wako Norway

 

Bill (mwasisi wa Microsoft) na Melinda Gates wako kwenye ziara nchini Norway. Leo Bill na Melinda walikula chakula cha mchana na waziri mkuu Jens Stoltenberg na mkewe Ingrid Schulerud nje ya Opera mjini Oslo. Wako Oslo kuzungumza na waziri mkuu juu ya mbinu na namna kupigana na umaskini na jinsi ya kutibu magonjwa duniani.

 

No comments: