Thursday, December 10, 2009


Obama yuko kwenye kasri

ya mfalme Harald wa tano



Obama na Michelle wako kwenye kasri ya Mfalme Harald wa tano. Obama na Michelle wanafanya mazungumzo na Mfalme Harald na Malkia Sonja (inatamkwa Sonya). Kwenye saa 7 adhuhuri, Obama, Michelle, Mfalme Harald na Malkia Sonya watakuwa Halmashauri ya mji wa Oslo, kwenye mafahali ya Obama kupokea tuzo ya amani ya Nobel.


No comments: