Halaiki ya watu yakusanyika
nje ya hoteli ya Grand
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgD2wV95uAkDF5MasnZ14oLAnS-OdMoWUJkCs8sKtFlcqoBNLICAJb9VP1UaR212m8MTAS1octZwnusX6VF5G5WiuugCgQZlDSTXzvP8s7dMBv03jqNHD3tlLRqFE31axD3_0lXBubyi2LH/s400/Michelle+na+Barack+kwenye+Balkoni.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_cKJh3QfdJTiba2-l_uBWVhvNFV4oHXPyWfKrkIh20SgPBw8AY1bYcIpMr2YbxLNHaAqqR-u1-MRZ0yYvhb2HI6m1LE8hLdJcReSMp7NkJGYoyN8Ru2GImCBoJauQTL9-5ZvNdEcFRaPa/s400/Obama+Earn+It.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNmvKBK4JuXG6pCvEo3dm23RT5PBre3Wa4PaEP0OwfqMD6WzQ_fxAjejmmW0CzDvTOuK6yBhYFyryT_4j8l6M29sW6z8xMbMPFIlLtOmEMWofC14tmN4391dOZe_SEkDOmmaQlxpzvfpgn/s400/obama+Grand+Hotel.jpg)
Mamia ya wakazi wa Oslo na watu kutoka sehemu zingine wamekusanyika nje ya hoteli ya Grand wakimsubiri Rais Obama kutoka nje balkoni kuwasalimia. Haijawi kukusanyika halaiki ya watu kiasi hiki kwenye sherehe za namna hii toka tuzo ya amani ya Nobel ianze kutolewa.
Saa 1 hadi saa 1 na dakika 2 usiku (19:02 CET) Rais Obama na mkewe Michelle wametoka nje ya balkoni ya Grand na kupungia watu mikono!!!!
No comments:
Post a Comment