Monday, December 28, 2009


Ulinzi umeongezwa Oslo Gardemoen Airport



Ndani ya uwanja wa Gardemoen




Kufuatilia jaribio la kulipua ndege juzi Jumamosi nchini Marekani, ulinzi umeongezwa kwenye uwanja wa ndege wa Gardemoen. Ulinzi huo unakuwa mkali haswa kwa wale wanaosafiri kwenda Marekani. Wasafiri wanatakiwa kufika mapema uwanjani na kuwa wavumulivu na jinsi watakavyokuwa wanapekuliwa.

No comments: