Friday, January 29, 2010

Davos, Uswiss - Rais Jacob Zuma akihojiwa na Fareed Zakaria: ametetea kuwa na wake wengi kwa sababu ni sheria ya Afrika Kusini na ni utamaduni wa Kizulu

Sizakele Khumalo (kulia), Nompumelo Ntuli (kushoto) na Thobeka Mabhija (akiwa na Zuma) walikuwa gumzo kwenye mkutano wa uchumi, Davos, Uswisi.


1 comment:

Anonymous said...

Zuma is freak, plain and simple!!!