Akamatwa akivusha kroner
milioni mbili
Jamaa wa ushuru wa forodha walipomhoji, akadai kuwa aliahidiwa kupewa kroner 15.000,- na watu waliomtuma kuja Oslo kutoka Stockholm kuchukua furushi hilo la hela.
Polisi bado wamedai kuwa mpaka sasa hawajui kuwa kama hela hizo zinatokana na biashara haramu au vipi.
Hairuhusiwi kuchukua zaidi ya Kroner 25.000,- kuzitoa nje ya Norway bila ya kibali cha Benki kuu ya Norway (Norges Bank)

No comments:
Post a Comment