Tuesday, February 02, 2010

CHANGAMOTO Insha za Jamii



Kitabu hiki ni mkusanyiko wa insha nilizoandika mwaka 2009 na kuzichapisha katika gazeti la KWANZA JAMII. Vile vile kuna mahojiano niliyofanyiwa na blogu ya Bongo Celebrity, mwaka 2008. Kwa ujumla, yaliyomo ni mawazo kuhusu masuala mbali mbali ya uchumi, siasa, jamii, na utamaduni yanayoihusu Tanzania na dunia kwa ujumla – Profesa Joseph Mbele.








Product Details

ISBN
978-0-557-24780-6
Publisher
Africonexion
Copyright
©2009 Africonexion (Standard Copyright License)
Language
Swahili
Publication Date
12 januar 2010


Lulu Sales Rank
161488


Page Count
129 pages
Size
U.S. Trade
Binding
Perfect Bound
Interior Color
Black And White

1 comment:

Mbele said...

Sikuwa nimeliona tangazo hili kabla. Niko hapa Tanga, na katika kurandaranda mitandaoni nimeliona. Napenda kutoa shukrani kwa kunisambazia taarifa hizi kwenye blogu hii murua.