Monday, February 01, 2010
Amini usiamini!
Picha hizi zilipigwa na Michel Denis-Huot, kwenye mbuga za wanyama Masai-Mara, Oktoba mwaka jana. Duma watatu walimwinda swala, lakini badala ya kumla, wakacheza naye na baadaye kumwacha!
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment