Thursday, October 28, 2010

The African Artists have represented
to the fullest Rockstar 4000


Ally Kiba akiwa kwenye pozi, habari nilizozipata ni kwamba Kiba anafanya vizuri na watu wameipenda sauti yake, mungu akujalie ndugu yangu uyafikie malengo.

Navio kutoka Uganda

 2 Face kutoka Naijeria

abari nilizozipata jana wasanii hawa walimaliza kurekodi wimbo huo wa Africa na sasa kilichobaki ni kuanza kushoot video hiyo, kama ulivyoona picha za juu wakiwa kwenye location tofauti tofauti.

 Ally Kiba na wasanii wenzake wakiwa kwenye location wakifanya video hiyo.

Ally Kiba akipigwa msasa kwenye kinanda na msanii kutoka Nigeria 2Face Idibia 

 Amani kutoka Nairobi, Kenya.



* Mwandishi DJ. Shoka.



No comments: