Tuesday, November 30, 2010
Japan
Watanzania washikwa na madawa ya kulevya
Polisi wa Yokohama katika mkoa wa Kanagawa wametoa taarifa rasmi kuhusiana na taarifa za kukamatwa kwa watanzania na madawa ya kulevya . Wamesema kuwa wamewakamata watanzania wawili baada ya kuthibitika kuwa walimeza dawa za kulevya aina ya Heroin katika matumbo yao.Wakwanza aliyetajwa kuanguka kwenye mikono ya wajapani ni Machenga Machenga Ally mwenye umri wa miaka 33 na Ally Mohamed Husein (37) ambao wanadaiwa kumeza kilogram 1.3 za heroin zenye thamani ya fedha za Japani zipatazo Millioni 78 kulingana na Polisi wa mkoa wa Kanagawa. Yeni Millioni 78 ukitaka kujua kwa fedha ya Tanzania zidisha (78,000,000 x 17.1)
Polisi hao wa Mkoa wa Kanagawa walisema kuwa Watanzania hao walikamatwa jumanne iliyopita ya Nov.23 wakiwa na kapsuli 5 kila mmoja zikiwa na gramu 13 za heroin zikiwa nyuma ya gari walilokuwemo. Awali Machenga Ally alimeza Kapsuli( capsules) 25 zenye ukubwa unaofanana na huo na tarehe 24 siku ya jumatano walilazwa hospitalini ambapo Machenga Ally alivitoa kwa njia ya haja kubwa kapsuli 10 na Husein kapsuli 40 Polisi wamesema kuwa watuhumiwa hao ambao wamekiri makosa yao waliondoka Tanzania tarehe 19 Novemba siku ya Ijumaa na kuingia Japani Novemba 22. Kilichowaponza kulingana na maelezo ya Polisi ni kuwa wenyeji wao katika eneo walilofikia alitoa taarifa Polisi katika mkoa huo wa Kanagawa kuwa jamaa zake walikuwa wakilalamika kuwa wanaumwa sana tumbo jambo liliwatia mashaka, hatimaye kila kitu kikawa hadharani.
Kardashians face criticism for debit card
The reality-TV sisters try to distance themselves from a controversial product bearing their name. 'Predatory' fees
Related links
Kardashian Kard
Norway
Mauzo rasmi ya iPad yaanza leo
Mauzo rasmi ya iPad yanaanza rasmi leo hapa Norway. Na makisio ya bei za iPad kama yafuatavyo:
• iPad Wifi 16GB - NOK 3999,-
• iPad Wifi 32GB - NOK 4999,-
• iPad Wifi 64GB - NOK 5999,-
• iPad Wifi+3G 16GB - NOK 4899,-
• iPad Wifi+3G 32GB - NOK 5899,-
• iPad Wifi+3G 64GB - NOK 6899,-
• iPad Wifi 32GB - NOK 4999,-
• iPad Wifi 64GB - NOK 5999,-
• iPad Wifi+3G 16GB - NOK 4899,-
• iPad Wifi+3G 32GB - NOK 5899,-
• iPad Wifi+3G 64GB - NOK 6899,-
Monday, November 29, 2010
Port Moresby Papua New Guinea
Mwanafunzi wa kiume abakwa
na wanawake 10
IMEZOELEKA sehemu nyingi duniani kusikia kesi nyingi za ubakaji huwahusisha wanaume. Lakini yaliyotokea Papua New Guinea yameshtua ulimwengu baada ya kesi ya kijana mdogo wa kiume kubakwa na kundi la wanawake.
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 ambaye jina lake halikuwekwa hadharani, mkazi wa kijiji kimoja kilichopo nchini humo, amelazwa hospitali akipatiwa matibabu baada ya kubakwa na genge la wahuni wanawake 10.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Southern Highland, nchini humo, Teddy Tei, kijana huyo alikumbana na zahama hilo siku ya Ijumaa iliyopita wakati alipovamiwa na wanawake hao.
Kamanda huyo alieleza kuwa kijana huyo ambaye ni mwanafunzi wa shule ya sekondari iliyopo pembezoni mwa mji wa Mande, alikuwa kirejea nyumbani kutoka shule na kukumbana ana kadhia hiyo mbaya.
Wanawake hao wakiwa na visu walimshambulia kijana huyo kabla ya kupokezana kumbaka kwa zamu.
"Hii ni kesi tunayoifuatilia kwa ukaribu zaidi, tunawatafuta wanawake waliofanya unyama huu", alisema kamanda huyo wa polisi.
Taarifa ya polisi ilisema baada ya kumshambulia kwa visu, wanawake wanne kati yao walianza kumuingilia kijana huyo.Kamanda Tei aliongeza kuwa kijana huyo aliwahishwa hospitali kwa matibabu zaidi.
Kijana huyo anafanyiwa uchunguzi ili kujua kama ameambukizwa magonjwa ya zinaa au la.
"Ugonjwa wa Ukimwi ni tatizo kubwa hapa nchini, ninahofia baadhi ya wanawake waliombaka huenda wakawa ni waathirika", alisema Kamanda Tei na kuongeza;
"Nimekuwa nikiwaonya wanawake wawe waangalifu sasa inanibidi nianze kuwaonya na wanaume nao wawe waangalifu mitaani wasije wakabakwa".
Hata hivyo, polisi bado wanaendelea na uchunguzi na haikuwekwa wazi ni sehemu ipi ambapo tukio hilo lilitokea kutokana na kijana huyo kupoteza fahamu na kutupwa eneo la mbali.
Wiki iliyopita binti mmoja nchini Australia alibakwa akiwa anarejea kutoka shuleni kaskazini magharibi mwa nchi hiyo na inadaiwa kuwa ameambukizwa ugonjwa wa Ukimwi.
Mwaka 2008 shirika la UNICEF liliripoti kuwa nchi ya Papua New Guinea ni nchi inayoongoza kwa kuwa na kasi ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa ukiwamo Ukimwi.
Katika ripoti hiyo ilielezwa kuwa asilimia nane ya wanawake waliripotiwa kubakwa, lakini kuna idadi kubwa ya tatizo hilo ambalo limekuwa haliripotiwi katika vyombo husika.
Ripoti hiyo ilifafanua kuwa nusu ya wanawake wanaoripotiwa kubakwa ni wenye miaka chini ya 15 na asilimia 13 ni wadogo chini ya miaka saba.
Imeandaliwa na Herieth Makwetta kwa msaada wa Mtandao wa kompyuta
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Southern Highland, nchini humo, Teddy Tei, kijana huyo alikumbana na zahama hilo siku ya Ijumaa iliyopita wakati alipovamiwa na wanawake hao.
Kamanda huyo alieleza kuwa kijana huyo ambaye ni mwanafunzi wa shule ya sekondari iliyopo pembezoni mwa mji wa Mande, alikuwa kirejea nyumbani kutoka shule na kukumbana ana kadhia hiyo mbaya.
Wanawake hao wakiwa na visu walimshambulia kijana huyo kabla ya kupokezana kumbaka kwa zamu.
"Hii ni kesi tunayoifuatilia kwa ukaribu zaidi, tunawatafuta wanawake waliofanya unyama huu", alisema kamanda huyo wa polisi.
Taarifa ya polisi ilisema baada ya kumshambulia kwa visu, wanawake wanne kati yao walianza kumuingilia kijana huyo.Kamanda Tei aliongeza kuwa kijana huyo aliwahishwa hospitali kwa matibabu zaidi.
Kijana huyo anafanyiwa uchunguzi ili kujua kama ameambukizwa magonjwa ya zinaa au la.
"Ugonjwa wa Ukimwi ni tatizo kubwa hapa nchini, ninahofia baadhi ya wanawake waliombaka huenda wakawa ni waathirika", alisema Kamanda Tei na kuongeza;
"Nimekuwa nikiwaonya wanawake wawe waangalifu sasa inanibidi nianze kuwaonya na wanaume nao wawe waangalifu mitaani wasije wakabakwa".
Hata hivyo, polisi bado wanaendelea na uchunguzi na haikuwekwa wazi ni sehemu ipi ambapo tukio hilo lilitokea kutokana na kijana huyo kupoteza fahamu na kutupwa eneo la mbali.
Wiki iliyopita binti mmoja nchini Australia alibakwa akiwa anarejea kutoka shuleni kaskazini magharibi mwa nchi hiyo na inadaiwa kuwa ameambukizwa ugonjwa wa Ukimwi.
Mwaka 2008 shirika la UNICEF liliripoti kuwa nchi ya Papua New Guinea ni nchi inayoongoza kwa kuwa na kasi ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa ukiwamo Ukimwi.
Katika ripoti hiyo ilielezwa kuwa asilimia nane ya wanawake waliripotiwa kubakwa, lakini kuna idadi kubwa ya tatizo hilo ambalo limekuwa haliripotiwi katika vyombo husika.
Ripoti hiyo ilifafanua kuwa nusu ya wanawake wanaoripotiwa kubakwa ni wenye miaka chini ya 15 na asilimia 13 ni wadogo chini ya miaka saba.
Imeandaliwa na Herieth Makwetta kwa msaada wa Mtandao wa kompyuta
Sunday, November 28, 2010
Norway
In the grip of winter
However, there is a white cover most places, and we don't have to travel too far before the cross country skiing conditions are quite acceptable, and for alpine skiers most hills are already well prepared, much thanks to the artificial snow produced by the large "snow guns" installed in most hills nowadays.
Christmas markets are popping up everywhere and Advent concerts fill churches across the country.
And the shopping for food and gifts is well underway, with predictions of another spending record at the crowded malls this Christmas.
About the snow, - if we can trust the TV newscasts, it seems most of that white stuff has dropped off on the Continent and over the British Isles, resulting in long line-ups and ditched cars.
But then, there are still four weeks to go for those who wish for an even more White Christmas.
Saturday, November 27, 2010
Friday, November 26, 2010
Norway inazizima kwa baridi
- Majira kali ya theluji -
Toka kuanza kupimwa kwa halibaridi hapa Norway hakujawahi kuwa na baridi kali mwezi Novemba kama ya safari hii. Hapa Oslo halibaridi ni -100 C, mji kama wa Trondheim ni -150 C, Røros ni -200 C na kwenye kisiwa cha Svalbard ni -250 C.
Picha hii imechukuliwa kutoka kasakazini ya Norway. gari limekwama kwenye theluji. Ni mchana lakini kiza totoro!
Thursday, November 25, 2010
Magic and Murder
The killing of so-called child witches is a practice that continues in the African republic of Benin. While murder is of course illegal in the country, making the allegations of witchcraft that lead to the deaths of children is not. Changing the law is not something easily achieved in Benin where the belief in sorcery is all pervasive and often seen as fundamental to the country's heritage and national identity.
Charles Stratford and cameraman Fadi el-Benni with a disturbing report.
This episode of People & Power can be seen from Wednesday, November 24, 2010 at the following times GMT: Wednesday: 0630, 1230; Thursday: 0300, 1400, 1930; Friday: 0830; Saturday: 2030; Sunday: 0730;Monday: 1430; Tuesday: 0030.
Source: Al Jazeera
Oslo, Norway
Controversial state church
pastor resigns
Gelius have several times over the past years been called before his bishops, criticised for his unconventional views of his own role as a pastor in the state church.
The situation came to a head a few weeks ago, when he published the book "Sex in the Bible" (Sex i Bibelen).
Oslo Bishop Kvarme said at the time that the book should never have been written. However, Gelius also received statements of support from people who felt it was important to bring up prejudices and taboos among Christians.
But it soon became clear that the conflict would be brought before a diosese meeting,
Gelius was informed of this in a letter from Bishop Kvarme, according to public broadcaster NRK. The letter is also said to have mentioned earlier conflicts.
Earlier this week the pastor and his bishop met several times, and on Wednesday Pastor Gelius announced that he had resigned.
He said it had become impossible for him to continue "since his Bishop no longer wanted him".
Source: NRK/Norway Post
Many Norwegians experience ID abuse
- The main reason for this is Norwegians' naivety, says Norsis senior adviser Christian Meyer. He says that ID theft has been a growing problem internationally, and that has now also spread to Norway at an alarming rate.
- We are generally too naive and have a great faith that socciety will solve all our problems, Meyer says.
He says an increasing number of swindlers make use of the social media to find the information they need.
- For one thing we need a central register where one may check if an ID document has been reported stolen, Meyer says.
Source: NRK/Norway Post
Wednesday, November 24, 2010
Baraza la jipya la mawaziri
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
President´s Office
The State House,
P.O.Box 9120,
Dar es Salaam
Tanzania
Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
NA. | OFISI/WIZARA | WAZIRI | NAIBU WAZIRI |
1. | Ofisi ya Rais | 1. WN – OR – Utawala Bora Mathias Chikawe 2. WN – OR – Mahusiano na Uratibu Stephen Wassira | |
2. | Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma | Hawa Ghasia | |
3. | Ofisi ya Makamu wa Rais | 1. Muungano Samia Suluhu 2. Mazingira Dr. Terezya Luoga Hovisa | |
4. | Ofisi ya Waziri Mkuu | 1. Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi 2. Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Nagu | |
5. | Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) | George Huruma Mkuchika | 1.Aggrey Mwanri 2. Kassim Majaliwa |
6. | Wizara ya Fedha | Mustapha Mkulo | 1. Gregory Teu 2. Pereira Ame Silima |
7. | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | Shamsi Vuai Nahodha | 1. Balozi Khamis Suedi Kagasheki |
8. | Wizara ya Katiba na Sheria | Celina Kombani | |
9. | Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa | Bernard K. Membe | 1. Mahadhi Juma Mahadhi |
10. | Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa | Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi | |
11. | Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi | Dr. Mathayo David Mathayo | 1. Benedict Ole Nangoro |
12. | Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia | Prof. Makame Mnyaa Mbarawa | 1. Charles Kitwanga |
13. | Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi | Prof. Anna Tibaijuka | Goodluck Ole Madeye |
14. | Wizara ya Maliasili na Utalii | Ezekiel Maige | |
15. | Wizara ya Nishati na Madini | William Mganga Ngeleja | 1. Adam Kigoma Malima |
16. | Wizara ya Ujenzi | Dr. John Pombe Magufuli | 1. Dr. Harrison Mwakyembe |
17. | Wizara ya Uchukuzi | Omari Nundu | 1. Athumani Mfutakamba |
18. | Wizara ya Viwanda na Biashara | Dr. Cyril Chami | Lazaro Nyalandu |
19. | Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi | Dr. Shukuru Kawambwa | 1. Philipo Mulugo |
20. | Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii | Dr. Haji Hussein Mpanda | 1. Dr. Lucy Nkya |
21. | Wizara ya Kazi na Ajira | Gaudensia Kabaka | Makongoro Mahanga |
22. | Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto | Sophia Simba | Umi Ali Mwalimu |
23. | Wizara ya Habari, Vijana na Michezo | Emmanuel John Nchimbi | 1. Dr. Fenella Mukangara |
24. | Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki | Samuel John Sitta | 1. Dr. Abdallah Juma Abdallah |
25. | Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika | Prof. Jumanne Maghembe | 1. Christopher Chiza |
26. | Wizara ya Maji | Prof. Mark James Mwandosya | Eng. Gerson Lwinge |
Subscribe to:
Posts (Atom)





