Wednesday, June 29, 2011
Mbuzi wakimbia kuchinjwa!
Jana kwenye saa 4 za asubuhi, hawa mbuzi 10 walikuwa wachinjwe kwenye Fastland slakteri maeneo ya Alnabru, Oslo. Kwa kudra za Mungu, wakaweza kutoroka na kuzagaa kwenye maeneo ya Furuseth/Alnabru mjini Oslo. Mpaka sasa hawajapatikana.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment