Kuhusu
gazeti la MwanaHalisi
Habari
nilizozipata kupitia mtandao wa nchi kavu kuhusiana na Gazeti la Mwanahalisi ambalo
huwa linatoka kila wiki siku ya jumatano ni kua wiki hii halijajatoka huku
mikoani hakuna hata matumaini ya kulipata wiki hii kama wanavyosema wauza
magazeti. Na habari nilizopata ni kua tokea mzee wa Monduli kuongea na
wanahabari kua atafanya kitu mbaya kupitia kwa wanasheria wake kama magazeti
kuandika habari za kumuhusu yeye binafsi, sasa umbea uliopo ni kua gazeti hili
la Mwanahalisi lilikua limesheheni habari za kutikisa nchi kuhusina na bwana
huyu, imebidi bwana Saidi Kubenea na jopo lake walifanyie Editing gazeti lao
kuhusiana na habari zilizokua zinamuhusu mkulu huyu na ndio maana mpaka sasa
haliko hewani. Jamani naomba kuwakilisha na mtupe dondoo kama hili gazeti kuna
mtu kalipata leo hii.
Kutoka Jamii
Forums na
Mdau,
Jamaldeen Mazar E Shariff Bin Ad-Din
Vituz Mamluk Ibn Zenjibari
No comments:
Post a Comment