Jamani hawa jamaa hawachoki? Hivi bado watu ambao mpaka
leo wanatapeliwa na hawa jamaa na barua zao hizi? Angalia lugha yenyewe ilivyo?
Wametumia Google Translate kutafsiri, angalia lugha ilivyo finyu?
“...ni wewe katika fujo ya kifedha, umejaribu mabenki na umekuwa ukageuka chini...” inachekesha!
Je, unahitaji mkopo?
To: undisclosed-recipients:
Date: 20.12.2011 04:26
Subject:
Je, unahitaji mkopo?
Je,
unahitaji mkopo? ni wewe katika fujo ya kifedha, umejaribu mabenki na umekuwa
akageuka chini, sisi kutoa kila aina ya mkopo kwa watu binafsi kutoka duniani
kote katika sarafu tofauti, kwa habari zaidi juu ya mkopo wetu wasiliana nasi
kupitia email:
Richard
James
* Read about phishing: http://en.wikipedia.org/wiki/Phishing
No comments:
Post a Comment