PST: Utlendinger med falske pass stor sikkerhetsrisiko
Idara ya usalama wa taifa
ya Norway (PST) inahofia wageni wenye vitambulisho na pasi batili za kigeni
kuwa ni tishio kwa usalama wa Norway, na kuwa wanaweza kufanya vitendo vya
kigaidi au uhalifu wa hali ya juu. PST inadhani kuwa kuna wageni maelfu
wanaishi Norway bila kuwa na makaratasi au wanaishi kwa vitambulisho na pasi
batili kutoka huko walikotoka.
(VG
Nett) Politiets Sikkerhetstjeneste (PST)
frykter utlendinger med falske pass kan begå terrorhandlinger eller alvorlig
kriminalitet. Flere tusen mennesker antas å befinne seg i landet ulovlig eller
med falske papirer…
No comments:
Post a Comment