Thursday, March 01, 2012

Kwa nini uraia wa Tanzania unatolewa
kama njugu?



TUMELAZIMIKA leo kuzungumzia suala la utoaji holela wa uraia wa Tanzania kutokana na mambo mawili makubwa. Kwanza, ni utamaduni wa Serikali ambao unaendelea kushika kasi hadi hivi sasa wa kuwapa wageni uraia wa Tanzania kama vile nchi yetu haina mwenyewe. Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo viongozi wake hawajui thamani ya uraia, pengine kutokana na historia ya nchi kuwa kisima cha amani ambako wakimbizi kutoka sehemu nyingi duniani walikimbilia kutafuta hifadhi. ...


No comments: