Monday, April 02, 2012

Maisha Peupe



Mcheshi, mkarimu, mcha mungu na mwenye utu. Ndio baadhi ya maneno waliotumia majirani kumfafanua Bi Margaret Nakalila ambaye ni mkulima wa miwa. Hata hivyo baada ya kugundua anaugua saratani, hii iliyabadilisha maisha yake na kuwaathiri wanawe. Katika makala ya maisha peupe hii leo tunaangazia safari yake na jinsi anavyokabiliana nayo. Mwanahabri Saida Swaleh na mengi katika maisha peupe. 

No comments: