Wednesday, October 31, 2012

Polisi wadaiwa kufanya unyama Zanzibar


MTU moja mkazi wa Mkele jana alinusurika kuuawa katika msako wa kuwakamata watu wanaotuhumiwa kusababisha vurugu zilizotokea wiki moja iliyopita mjini Zanzibar.

Vurugu hizo ziliibuka Oktoba 17 mwaka huu baada ya kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMUIKI) Sheikh Farid Ahmed Hadi kutoweka katika mazingira ya kutatanisha Oktoba 16, mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa bahari mjini hapa jana, kijana aliyenusurika kuuawa, Salum Bakari Muya alidai aliteswa kwa kukatwa ngozi kwa kisu kichwani na kasha kunyonyolewa nywele polisi ambao pia walikuwa na silaha.

Alisema kabla ya kukutwa na tukio hilo alikuwa amekaa na wenzake wakiwa wanasubiri tenda ya mizigo ya kusafirisha kwa kutumia magari ya punda.

“Nilikuwa nabangaya – yaani kubangaiza –wakatokea polisi sita, walipofika nilipokaa wakanifunua kofia na kunikata kipande cha ngozi na nywele kichwani kwa kisu,” alisema Salum.

Alidai polisi waliomfanyia ukatili huo ni wa kikosi cha FFU na kwamba baada ya kitendo hicho waliamua kumpeleka kituo cha afya cha JKU kilichopoa Saateni kwa matibabu ya awali.

Salum alidai kuwa baada ya kupata matibabu katika kituo hicho cha JKU iliamriwa kwamba apelekwe Hospitali Kuu ya Mnazimoja kwa vile alikuwa anavuja damu nyingi.

Hata hivyo alisema alishangaa kabla ya kufika Mnazimoja polisi hao waliamua kumtekeleza katika eneo la kwa Abbas Hussein, kilometa chache kutoka walipomtoa hospitali ya JKU.

“Hawakunifikisha Manazimoja, wakaniacha na kuondoka huku wakisema ubaya ubaya mtakoma waambie na wenzio,” alisimulia Salum akiwa na bandeji aliyofungwa wakati anapata huduma ya kwanza.

Alisema baada ya kutelekezwa na polisi aliamua kwenda Welesi huko Kikwajini kwa lengo la kuzungumza na waandishi wa habari juu ya mkasa uliompata.

Baada ya kusimulia mkasa huo, Salum ambaye alifuatana na kaka zake walioomba wasiandikwe majina baadae alipelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi.

Alipoulizwa juu ya tukio hilo, Kamishana wa Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa alisema bado hajapopewa taarifa na kwamba iwapo mwathirika atalalamika kituoni polisi watachukua hatua ya kucunguza.

“Tumezoea kulalamikiwa, kama mtu amefanyiwa ukatili kwanini asiripoti kituo cha polisi, hapo ujue kuna jambo anaficha,” alisema Kamishna Mussa.

Lakini baada ya kuelezwa na mwamdishi wa habari hizi kwamba kijana huyo amepelekwa hospitali na kaka zake, Mussa alisema aliahidi kufuatilia tukio hilo

Kitendo cha Salum kufanyiwa ukatili na watu wanaodaiwa kuwa polisi kimetanguliwa na matukio ya vijana wenguine wawili kuuawa wakati wa utekelezaji wa zoezi la msako huo mjini Zanzibar mwezi Oktoba mwaka huu.

Imedaiwa kuwa Hamad Ali Kaimu aliuawa Ijumaa iliyopitama wakati akiwa mikononi kuwa polisi katika eneo la Magomeni na Salum Hassan Mahanju alikufa baada ya kupigwa risasi katika maeneo ya Amani Fresh na watu waliotajwa kuwa maofisa ulinzi na usalama.

Mbali na vijana hao, askari mmoja Koplo Said Abdulrahman aliuawa na watu wasiojulikana huko Bububu baada ya tukio la kutoweka Sheikh Farid.

Tokea kuanza kwa vurugu hapa Zanzibar jumla ya watu watatu wamefariki ikiwa mmoja ameuwa na watu wenye hasira huku jeshi la polisi likidaiwa kuwauwa vijana wawili hali sio shuwari kufuatia unyanyasaji na ukiukwaji wa haki za binadamu unaodaiwa kufanywa na jeshi la polisi kwa kisingizio cha kuwatafuta wahahalifu.Wakati jeshi la Polisi visiwani Zanzibar likiendelea kuwasaka wahalifu, baadhi ya wananchi wamejitokeza kulalamikia juu ya operesheni hiyo ikiwemo ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na jeshi hilo uliosababisha kifo cha kijana mmoja akiwa mikononi mwa polisi.

Chanzo: Voice of Zanzibar on Facebook

Monday, October 29, 2012


Kvinne (21) fra Kristiansand funnet død i Tanzania


 
 
21-åringen fra Kristiansand ble funnet død lørdag.
KRISTIANSAND: - Vi kan bekrefte at en 21 år gammel norsk kvinne er funnet død i Tanzania, sier pressevakt i UD, Svein Michelsen.
Kvinnen var vernepleierstudent og hadde praksis i byen Korogwe, opplyser Veslemøy Rabe, som er fakultetsdirektør ved fakultet for helse- og idrettsvitenskap.
- Vi bistår familien og dem som var med henne i Tanzania. Ambassaden og UD bistår dem med konsulær hjelp, opplyser pressevakt Stein Michelsen i Utenriksdepartementet.
Mandag morgen vet ikke Universitetet i Agder mer rundt omstendighetene for dødsfallet.
- De fire studentene som er igjen får bistand fra norsk personell på stedet, sier universitetsdirektør Tor A. Aagderdal.

Ikke mistanke om noe kriminelt

Det skal ikke være mistanke om at 21-åringen er blitt utsatt for noe kriminelt.
Studiedirektør ved UiA, Tor Aagedal, bekrefter overfor Fædrelandsvennen at 21-åringen var student ved UiA.
- Lørdag kveld fikk vi beskjed om at 21-åringen ble funnet død i leiligheten hun delte med tre andre studenter. Foreldrene skal være varslet, sier Aagedal.

Har hatt samarbeid i flere år

Ifølge UiA-direktøren skal det ha vært norsk helsepersonell til stede i byen hvor 21-åringen var i ferd med å gjennomføre en del av praksisen.
Kilde: Fædrelandsvennen (Kristiansand)


Sunday, October 28, 2012

Tumeanza majira ya theluji (Winter)


Saa 9 usiku kuamkia Jumapili, 28 Oktoba 2012, hapa Norway (Skandinavia) tumebadili majira na kuingia majira ya theluji (Winter time). Kufuatia na mabadiliko ya majira, tumerudisha saa moja nyuma. 

Tuna tofauti ya masaa mawili na saa za Afrika Mashariki kwenye majira ya theluji. 

Mfano:

Hapa Norway ikiwa saa 4 za asubuhi,
Tanzania (Afrika Mashariki) ni saa 6 za mchana... 

Mabadiliko ya saa hufanyika mara mbili kwa mwaka.



Jumapili ya mwisho ya Machi, kuingia majira ya Kiangazi (Summer). Tunasogeza saa moja mbele. Tofauti ya saa moja na Afrika Mashariki.


Jumapili ya mwisho ya Oktoba, kuingia majira ya theluji (Winter). Tunarudisha saa moja nyuma. Tofauti ya masaa mawili na Afrika Mashariki.

Saturday, October 27, 2012

Kuchemsha kwa naibu waziri wa elimu Philipo Augusto Mulugo



Livunjeni kwanza Jeshi la Polisi ili mhalalishe JWTZ kuingia mitaani!



HAKUNA tatizo kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuingia mitaani na kusaidia kusimamia sheria na kulinda amani. Tatizo lililopo ni kuwa hawajatuambia kama Jeshi letu la Polisi ambalo ndilo lenye wajibu wa kulinda amani na utulivu na kuhakikisha usalama wa raia limeshindwa kazi yake. Kuna sababu moja tu ya Jeshi (army) kuruhusiwa kuingia mitaani kushughulikia matatizo ya kiraia; wakati Jeshi la Polisi limezidiwa au limeshindwa.....

Bofya na kusoma zaidi>>>>

Thursday, October 25, 2012

Consensus Reached in Zanzibar Oil, Gas Search


By Issa Yussuf

Oct. 25, 2012 (All Africa Global Media) -- PRESIDENT Jakaya Kikwete and Dr Ali Mohamed Shein have finally agreed on the issue of Zanzibar's demand to have authority over its oil and natural gas should it be explored in the islands.

"I would like to inform the House that both presidents have okayed Zanzibar to start legal and institutional preparations to manage its oil and natural gas as the Union government reviews  the existing laws and administrative powers over the matter," legislators were told on Wednesday.

Moving a motion to adjourn the Zanzibar House of Representatives session to January 16, 2013, the Second Vice- President Ambassador Seif Ali Iddi said he has already informed,  in writing, the Union government Prime Minister, Mizengo Pinda, before the agreement between the two presidents is documented.

"We expect that the matter will end in a short period and I will definitely inform the House about the development. "On our part (Zanzibar) we need to put in place administrative structure, policy, prepare a Bill on oil and natural gas and authority to manage our natural resources," he said.

Zanzibar has since 2009 been demanding that oil and natural gas be removed from union matters. Zanzibar House passed the resolution to remove the natural resources from the list of union matters, but lawyers have argued that implementation is impossible without an agreement with Union government.

Politicians, leaders in Zanzibar government and pressure groups mainly Uamsho Islamic group have been pushing to changes in the Union so that Zanzibar enjoys more autonomy, including non-sharing oil and gas with Tanzania mainland.

Meanwhile, as Muslims celebrate Eid tomorrow, Amb. Iddi appealed for peace and stability, warning that security officers will not spare anybody breaking the law.

"I ask people particularly youths to refrain from acts of violence. We need peace to develop," he said as security anxiety grows in Zanzibar. Uamsho leaders including Sheikh Farid Hadi Ahmad are still in remand and today are expected to appear in court again over incitement and instigating violence.

Copyright Tanzania Daily News. Distributed by AllAfrica Global 
Media (allAfrica.com).




Saturday, October 20, 2012

Vikosi vya ulinzi na usalama jinsi vilivyodhibiti vurugu zilizotokea jana Dar es Salaam

Barabara ya kuingia katika Ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi zikiwa zilifungwa jana kufuatilia vurugu kubwa maeneo ya katikati ya Dar es Salaam.


Polisi wakifanya doria kwa kutumia pikipiki 




Hali ilikuwa mbaya sana kiasi ambacho dola iliita Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kusaidia polisi kuzima vurugu zilizotokea jana  Dar es Salaam. 

 Askari wa jiji wakishiriki kikamilifu katika zoezi la kuwakamata watu waliokuwa wamekusanyika kwa nia ya kutaka kuandamana katika eneo la Kariakoo.

Picha kwa hisani ya http://daresalaam-yetu.blogspot.no/   

Saturday, October 13, 2012

Habari za Tanzania kwa kina toka TBC



Waziri Mkuu Mhesh. Pinda kukutana na Watanzania Uingereza


Waziri Mkuu mheshimiwa Mizengo Pinda atakutana na watanzania waishio UK dhumuni likiwa ni kuzungumzia mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu kisiasa, kiuchumi, n.k.

Pamoja na hayo pia maswala yaliyozungumzwa kwenye ziara yake ya mara ya kwanza yataelezewa.

Siku: Jumanne, 16.Oktoba 2012

Mahali: Tanzania High Commission, London
Time: 17:00 jioni (saa kumi na moja jioni).

Inashauriwa wale wote wanaopenda kuhudhuria wajiandikishe kupitia email:

watanzaniauk@gmail.com 

Wote mnakaribishwa.

Friday, October 12, 2012

Announcement

THE NOBEL PEACE PRIZE FOR 2012


The Norwegian Nobel Committee has decided that the Nobel Peace Prize for 2012 is to be awarded to the European Union (EU). The union and its forerunners have for over six decades contributed to the advancement of peace and reconciliation, democracy and human rights in Europe.

In the inter-war years, the Norwegian Nobel Committee made several awards to persons who were seeking reconciliation between Germany and France. Since 1945, that reconciliation has become a reality. The dreadful suffering in World War II demonstrated the need for a new Europe. Over a seventy-year period, Germany and France had fought three wars. Today war between Germany and France is unthinkable. This shows how, through well-aimed efforts and by building up mutual confidence, historical enemies can become close partners.

In the 1980s, Greece, Spain and Portugal joined the EU. The introduction of democracy was a condition for their membership. The fall of the Berlin Wall made EU membership possible for several Central and Eastern European countries, thereby opening a new era in European history. The division between East and West has to a large extent been brought to an end; democracy has been strengthened; many ethnically-based national conflicts have been settled.

The admission of Croatia as a member next year, the opening of membership negotiations with Montenegro, and the granting of candidate status to Serbia all strengthen the process of reconciliation in the Balkans. In the past decade, the possibility of EU membership for Turkey has also advanced democracy and human rights in that country.

The EU is currently undergoing grave economic difficulties and considerable social unrest. The Norwegian Nobel Committee wishes to focus on what it sees as the EU’s most important result: the successful struggle for peace and reconciliation and for democracy and human rights. The stabilizing part played by the EU has helped to transform most of Europe from a continent of war to a continent of peace.

The work of the EU represents "fraternity between nations", and amounts to a form of the "peace congresses" to which Alfred Nobel refers as criteria for the Peace Prize in his 1895 will.

Nobel Peace Prize
Oslo, 12 October 2012

Innvandrere har flest barnevernsbarn

Aften møtte denne uken disse foreldrene som alle mener de har mistet omsorgsretten fordi barnevernet ikke forstår deres kultur. Vasanthakumaran Nadarayah (f.v.), Chithrathevi Magathmajothy, Magathmajothy Selladurai og Guy Martin Abaza er her i prat med bystyrepolitiker Elvis Chi Nwosu (Ap). FOTO: Torunn Brånå


Oslos innvandrerfamilier er sterkt overrepresentert hos barnevernet. Bruk av fysisk straff i oppdragelsen er en av årsakene til dette, sier flere eksperter......


Thursday, October 11, 2012

Balozi Mohammed Mzale kukutana na Watanzania mjini Oslo, Ijumaa 12. Oktoba 2012


Balozi Mohammed Mzale.


Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Skandinavia na za Baltics, Mhesh. Mohammed Mzale anafika Oslo leo kuhudhuria mkutano

"Norwegian African Business Summit 2012"


Angependa kukutana na Watanzania:
Ijumaa, 12. Oktoba 2012
Saa: 19:30 CET
Mahali: Radisson Blu Plaza
(jirani ya Galleri Oslo)
 
Kwa maelezo zaidi, piga
47 22 73 66



Wednesday, October 10, 2012

Norway expels Sudanese diplomat


Norway on Tuesday expelled a Sudanese diplomat posted in Oslo after Khartoum's embassy here was implicated in spying on Sudanese refugees in the Scandinavian country.

"Today we summoned the charge d'affaires of the embassy," Norwegian foreign affairs ministry spokesman Kjetil Elsebutangen told AFP on Tuesday.

We informed him that their diplomat's activity was incompatible with his diplomatic status and so we asked that he leave Norway," Elsebutangen said, specifying that he leave "quickly."

Norway's intelligence agency PST on Tuesday announced the arrest of a 38-year-old Sudanese man suspected of covertly gathering information on Sudanese refugees in Norway and transmitting it to someone at the Oslo embassy.

They did not specify the nature of the information gathered.

A spokesman for the embassy could not be immediately reached for comment

Source: AFP (news@thelocal.no)

Tuesday, October 09, 2012

The Zanzibar First Vice President, Mr Seif Sharif Hamad, has declared that he is not in favour of the current structure of Union between Tanganyika and Zanzibar

Seif Shariff Hamad, First Vice President of Zanzibar.


Dar es Salaam.The Zanzibar First Vice President, Mr Seif Sharif Hamad, has declared that he is not in favour of the current structure of Union between Tanganyika and the Isles. In his first major public statement on the Union structure, Mr Hamad told a rally in Pemba over the weekend that he wants to see an autonomous Zanzibar establish contractual tiers with Tanzania Mainland.

“I do not want to beat around the bush in this matter, I want to declare that I am for a fully autonomous Zanzibar with national and international powers which should then freely enter into contractual agreement with Tanganyika and establish treaty-based union,” he told a rally organised by Civic United Front (CUF) in Pemba. Mr Hamad also doubles as CUF secretary general. He further argued:

“I personally believe that a treaty-based Union will be the panacea to the economic problems facing Zanzibar,” Mr Hamad told a rally at the Mchanga Mdogo grounds in Wete District, Pemba.In order to ensure that this dream is realised, Mr Hamad urged people in North Pemba Region to come out in big numbers to air their views and categorically demand for a treaty-based Union before the Constitutional Review Commission (CRC) started its work yesterday.

He noted that for the past 48 years, there had been 26 commissions and more than 100 meetings organised by the Attorney General’s Chambers in efforts to resolve Union queries but all that, he claimed, had been in vain. 

“If anything, the Union problems have been escalating. This makes me believe the only solution is to go to the basics... it is the structure of the Union which is the problem,” he insisted. 

He noted that if implemented, a treaty-based merger would be beneficial, not only to Zanzibaris but Mainlanders as well for it would also sort out longstanding misgivings from both partners of the Union.Mr Hamad said that one area in which Zanzibar does not benefit within the current set up of the Union was that of international agreements. He argued that the Isles should be given powers to enter into economic pacts with other countries and international organisations.

“It is a pity that even when Zanzibar manages to secure a lucrative deal with some foreign country or organisation, it cannot sign a pact unless the Union Government agrees,” he said.He noted that some Islanders are in support of the current form of the Union as if they “do not have the interests of Zanzibar at heart.”

He said that Zanzibar and Tanganyika should each be allowed to have an autonomous government that would then freely enter into an agreement on how they could work together as equal partners.

Mr Hamad argued that Zanzibar should have its own independent judicial system and Parliament that would be affiliated to the Commonwealth Parliamentary Association (CPA), its Central Bank and a Foreign Affairs ministry. 

He said he wanted to see Zanzibar with full-fledged international powers with a seat at the UN. 

He said such kind of merger would enable Zanzibar to determine how to exploit its natural resources for its benefit. 

He cited natural gas, oil and minerals, noting that for more than 14 years the Mainland has been mining natural gas but it had not been clear how Zanzibar has benefited from the resource.

“Though we have asked that gas and oil be removed from the Union docket, the Mainland has remained mum while it continues with gas and oil exploration,” he said. He pointed out that the Islanders would be proud to see their President, Dr Ali Mohammed Shein, fly the Zanzibar flag while he is abroad.

At the same time, Mr Hamad has appointed Mr Hamad Masoud Hamad the CUF deputy secretary general in Zanzibar. 

A statement issued yesterday by Mr Hamad in his capacity as CUF secretary general said that Mr (Hamad) Hamad replaces Mr Ismail Jussa who resigned recently.

Mr Jussa, who also doubled as Mji Mkongwe Representatives said in his resignation letter that he wanted to commit himself more fully to efforts to liberate Zanzibar from the “shackles of 1964 Union”.

Mr Hamad said it was not easy for the party top officials accept Mr Jussa’s decision to step down because of his quality leadership, but they had to let him go because he has convincing arguments. 

Meanwhile, at least four houses were burnt to ashes in Tumbe Island in Pemba at the weekend.  The incident took place in Tumbe East Ward in Micheweni District, Pemba North Region where fire started in 15 houses, the cause of which could not be explained immediately.

Source: The Citizen

NORWAY: Foreign students set to lose housing guarantee


Grunerløkka student apartments (Photo: SiO/Stein J. Bjørge)


International students should not be given top priority for student housing in Oslo at the expense of first-year students from other parts of Norway, a student council has ruled.

Until now, international students moving to the Norwegian capital have gained an automatic place at the top of the queue for student accommodation managed by the student welfare organization for Oslo and Akershus (SiO).

This week, however, the region’s Welfare Council (Velferdstinget – VT) ruled that domestic first-year college students from outside the Oslo area should be given the same housing opportunities as their international counterparts, student newspaper Universitas reports.

If SiO’s governing committee votes to approve the move, the new rules will come into effect on January 1st 2013.

”We think it’s right to prioritize international students in the queue, but not in unlimited numbers and not to the total detriment of other first-year students,” said Welfare Council chief Birgit Skarstein.

The council instead wants individual universities and colleges to assume responsibility for finding accommodation for students from abroad.

Source: The Local (Norway)



Thursday, October 04, 2012

Rais Jakaya Kikwete na Ba Kim Moon wateta kuhusu mgogoro wa Ziwa Nyasa


Rais Jakaya Kikwete akiwa na Katibu  Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon alipomtembelea ofisini kwake makao makuu ya umoja huo nchini Marekani, juzi.


RAIS Jakaya Kikwete amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon na kujadili pamoja na mambo mengine, mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa kati ya Tanzania na Malawi.

Taarifa iliyotolewa na Ikulu jana, imeeleza kuwa viongozi hao walikutana jijini New York, Marekani ambapo Katibu Mkuu amesifia jitihada za Tanzania katika kupatia suluhu suala hilo.

“Majuzi nilikutana na Rais Joyce Banda wa Malawi na akanielezea mzozo wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa na mazungumzo ambayo nchi zenu mbili zinafanya ili kupata ufumbuzi wa amani. Hii ndiyo njia sahihi na UN inaunga mkono njia hiyo,” alisema Ban Ki Moon.

Katika mazungumzo hayo, Rais Kikwete alimweleza Katibu Mkuu huyo kuwa Tanzania bado inaamini kuwa njia sahihi na ya maelewano zaidi ni kutafuta ufumbuzi wa mvutano huo wa mpaka kwa njia ya mazungumzo.

“Wazo la awali la kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili la miaka mingi sana lilitokana na Rais wa Malawi, marehemu Bingu wa Mutharika ambaye aliniandikia barua ya kutaka nchi zetu zianze mazungumzo kuhusu mzozo huo. Nasi tulikubali. Hivyo, ndivyo tulivyoanza kuzungumza,” alisema Rais Kikwete

Aliendelea:“Mpaka kati ya Malawi na Msumbiji kwenye ziwa hilohilo,  umekuwa katikati ya ziwa tangu mwaka 1954 wakati nchi hizo zilipokubaliana kusahihisha makosa ya kuuweka mpaka huo nje ya ziwa. Mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye mto mkubwa zaidi unaoingiza maji katika Ziwa Nyasa uko katikati ya mto wenyewe.”

Rais Kikwete alibainisha kuwa kila mahali ambako nchi zinatenganishwa na maji, mpaka unakuwa katikati ya nchi. “Sisi tunadhani hata kwenye mpaka wetu na Malawi kwenye Ziwa Nyasa ni lazima uwe katikati ya ziwa,” alisema Rais Kikwete na kuendelea:

“Katika hali ya sasa wananchi wetu wanapokunywa maji ya Ziwa Nyasa wanakunywa maji ya Malawi, kila watu wetu wanaposafiri ndani ya ziwa kufanya shughuli zao wanasafiri kwenye maji ya Malawi. Hili ni jambo linalohitaji majadiliano ya kuliweka vizuri.”

Msimamo wa Malawi

Mazungumzo ya viongozi hao yamekuja huku Rais wa Malawi, Joyce Banda akiwa ametangaza kujitoa kwenye mazungumzo hayo kwa madai kuwa Tanzania imechukua hatua korofi kwa kuchapisha ramani inayoonyesha kuwa mpaka wa ziwa hilo uko katikati.

Rais Banda alitangaza uamuzi huo wakati alipokuwa akilihutubia taifa hilo baada ya kurejea nchini kwake akitokea Umoja wa Mataifa (UN) alikokuwa kwa ziara ya kikazi.

"Wakati naondoka kwenda UN nilidhani suala la mpaka wa Malawi na Tanzania lilikuwa likihitaji mazungumzo, lakini nikiwa huko nikasikia kwamba Tanzania imezindua ramani mpya inayogusa ziwa hilo," alisema Banda na kuendelea;

"Baada ya hatua hiyo wavuvi wa Malawi wameanza kufukuzwa ufukweni na boti zetu zinaondolewa Tanzania. Ni suala zito sasa ambalo tunatakiwa kuchukua hatua nyingine," alisema.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule alipoulizwa jana kuhusu msimamo wa Tanzania kwa kauli hiyo ya Malawi alisema: "Jana sikumpata Waziri (Membe) kupata ushauri wake, ila ninaendelea kuwasiliana na Balozi wetu Tanzania wa Malawi aifuatilie kauli hiyo kujua kama ni kweli imetolewa na Rais."

Katibu Mku huyo alisema ikithibitika kuwa ni kauli ya Rais Banda, atawasilina na Waziri Membe ambaye kwa sasa yuko nje ya nchi ili baadaye ajadiliane na Rais Kikwete wakiwa huko Canada.

Katika hotuba yake ya mwishoni mwa mwezi Septemba, Rais Jakaya Kikwete alielezea hatua zilizochukuliwa na Serikali yake kushughulikia mzozo huo kuwa tume ya pamoja ilipanga kukutana  Septemba  10 hadi 15 mwaka huu, lakini  mkutano huo haukufanyika kwa maombi ya Serikali ya Malawi

Chanzo: Gazeti la Mwananchi

Wednesday, October 03, 2012

Malawi Threatens to Cancel Talks With Tanzania Over Lake Dispute


 


By Frank Jomo and David Malingha Doya - Oct 3, 2012


Malawian President Joyce Banda threatened to cancel talks with Tanzanian leader Jakaya Kikwete over their disputed boundary on Lake Malawi, where a British company is exploring for oil.

 
Banda plans to call off the negotiations after Tanzania published a map claiming half of the lake as its own, she told reporters yesterday in Lilongwe, the capital. Banda was returning from a trip to the

United Nations General Assembly, where she briefed Secretary-General Ban Ki-moon about the impasse and told him her country plans to seek arbitration by the International Court of Justice in The Hague.
"When I left the country I thought the matter will be resolved, but now the matter looks bigger than I thought,"Banda said. "I have written them that there is no point to go on with the dialogue until they explain the new map."

 
Malawi’s Energy Ministry announced in October 2011 it awarded Surestream Petroleum Ltd., based in Reading,
 
England, a license to search for oil in blocks 2 and 3 on Lake Malawi covering 20,000 square kilometers (7,724 square miles). Tanzania’s government says exploration has extended into its half of the lake, which it calls Lake Nyasa, and wants exploration halted until ownership of the water body is determined.
 
The dispute is a "sovereign issue," Keith Robinson, Surestream’s country manager for Malawi, said in a phone interview today from Reading.

 
"We are leaving it to the two nations to resolve their own dispute," he said. "We will cooperate and allow the process to proceed at its own pace."

 
Third Party

 
Tanzanian Lands Minister Anna Tibaijuka didn’t answer two calls to her mobile phone seeking comment. On Sept. 5, Tibaijuka said the two countries would agree on a third party to help end the dispute if they fail to resolve it on their own.

 
Banda plans to visit Tanzania to seek clarification on the new map, Steven Nhlane, the president’s press secretary, said in a phone interview today from Lilongwe.

 
"The launch of the new map means Tanzania has bypassed the outcome of the talks between the two countries and therefore the president sees no need to proceed," Nhlane said. "However, before the issue is taken to ICJ for example, she still wants to meet President Kikwete and there are plans she will visit that country."

 
Malawi is one of the world’s 20 poorest countries, with more than 40 percent of the population living on less than $1 a day and an average life expectancy of 40 years, according to the U.S. Agency for International Development. The southern African nation relies on aid for about 40 percent of its budget, according to the government.

 
Tanzania already holds the second-largest natural-gas reserves in eastern
Africa after Mozambique, having discovered about 30 trillion cubic feet of the resource so far.
 
To contact the reporters on this story: Frank Jomo in Blantyre via Nairobi at

pmrichardson@bloomberg.net; David Malingha Doya in Dar es Salaam via Nairobi at pmrichardson@bloomberg.net.
 
Source: http://www.bloomberg.com/news/2012-10-03/malawi-threatens-to-cancel-talks-with-tanzania-over-lake-dispute.html