Taasisi ya raia ya haki za kisiasa na mwenendo wa bunge Tanzania,imeitaka serikali kusikiliza kilio cha wamiliki wa vyombo vya habari Tanzania -MOAT, kuruhusu urushaji wa mawimbi ya analojia,kwenda sambamba na dijitali,ili kuwapa wanainchi fursa ya kupata taarifa sahihi toka kwa vyombo vya habari.
No comments:
Post a Comment