Balozi Muhammed Mzale.
Programu ya Ijumaa, 26.Aprili 2013
20:00 Milango inafunguliwa
21:00 Mgeni wa heshima, Mheshimiwa Balozi Muhammed Mzale anaingia.
21:15 Wimbo wa taifa
21:20-21:35 Mwenyekiti wa Chama Cha Watanzania Oslo (CCW Oslo) Dr. Titus Sendeu Tenga kumkaribisha Balozi Mzale.
21:35-21:45 Rais wa TASAO, Hatibu Mgeja kutoa salaam kwa Balozi Mzale na kwa Watanzania na waalikwa.
21:45-22:30 Balozi Mzale kuzungumza na Watanzania.
22:30-23:00 Maswali ya Watanzania kwa Balozi Mzale.
23:00 Mziki hadi 03:00. Chege atakuwa na program ya kughani kwenye muda huo.
Kama kutakuwa na mabadiliko yoyote tutawajulisha
No comments:
Post a Comment