Tuesday, April 23, 2013

Tafrija ya Muungano, Ijumaa 26 Aprili 2013, Slurpen festlokale, Lakkegata 79B, Oslo. Mgeni wa heshima ni Mheshimiwa Balozi Muhammed Mzale (Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic na za Balkans)


Balozi Muhammed Mzale.


Programu ya Ijumaa, 26.Aprili 2013


20:00 Milango inafunguliwa

21:00 Mgeni wa heshima, Mheshimiwa Balozi Muhammed Mzale anaingia.

21:15 Wimbo wa taifa

21:20-21:35 Mwenyekiti wa Chama Cha Watanzania Oslo (CCW Oslo) Dr. Titus Sendeu Tenga kumkaribisha Balozi Mzale.

21:35-21:45 Rais wa TASAO, Hatibu Mgeja kutoa salaam kwa Balozi Mzale na kwa Watanzania na waalikwa.

21:45-22:30 Balozi Mzale kuzungumza na Watanzania.

22:30-23:00 Maswali ya Watanzania kwa Balozi Mzale.

23:00 Mziki hadi 03:00. Chege atakuwa na program ya kughani kwenye muda huo.


Kama kutakuwa na mabadiliko yoyote tutawajulisha


No comments: