Kuwaaga wanafunzi Watanzania wanaomaliza masomo yao
2013
Ndugu wanaTASAO kama
ilivyo ada yetu ule muda wa kuwaaga wenzetu wanaomaliza masomo mwaka 2013
umewadia. Sherehe zitafanyika siku ya
Jumamosi ya tarehe 08.06.2013.
Sherehe hizi zitafanyika
katika
Ukumbi wa NORBERG KIRKE
pale ilipofanyika
sherehe ya Uhuru mwezi Desemba 2012. Sherehe zitaanza saa 12.00 jioni.
Tunaomba sana wote tushiriki kwa wingi.
Sambamba na hilo tunaomba kuwakumbusha michango ya kiingilio na ada ya kila muhula kwa wale ambao hawajatoa. Kwa sababu sherehe hizi zinaendeshwa kwa michango yaani kiingilio na ada tu hakuna mchango zaidi ya huo. Tunawaomba sana tujitume wenyewe. Unaweza wasilisha mchango wako moja kwa moja kwa kiongozi yeyote wa TASAO.
Naomba kuwasilisha.
Tunawasalimu pia wale wote mlio huko nyumbani Tanzania. Kila la kheri katika kujenga nchi yetu.
DEZIDERY KAJUNA
Tunaomba sana wote tushiriki kwa wingi.
Sambamba na hilo tunaomba kuwakumbusha michango ya kiingilio na ada ya kila muhula kwa wale ambao hawajatoa. Kwa sababu sherehe hizi zinaendeshwa kwa michango yaani kiingilio na ada tu hakuna mchango zaidi ya huo. Tunawaomba sana tujitume wenyewe. Unaweza wasilisha mchango wako moja kwa moja kwa kiongozi yeyote wa TASAO.
Naomba kuwasilisha.
Tunawasalimu pia wale wote mlio huko nyumbani Tanzania. Kila la kheri katika kujenga nchi yetu.
DEZIDERY KAJUNA
Chanzo: Tanzania Students
Association Oslo (TASAO) http://tasao.blogspot.no/
No comments:
Post a Comment