Thursday, August 15, 2013

Wauza unga 250 nchini watajwa


Majina ya Watanzania 255 wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya yamejulikana, na JAMHURI imeamua kuyachapisha. Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa kwenye orodha hiyo wamo watu maarufu na baadhi wamekuwa wakitoa misaada, huku wengine wakijifanya ni wazee wa kanisa na kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii.

Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI, usio na chembe ya shaka, unaonesha kuwa orodha hii ya watu inayochapishwa hapa chini, kwa sasa wapo chini ya uangalizi wa Mahakama na Jeshi la Polisi nchini.

Watuhumiwa wengi ni wakazi wa Dar es Salaam, ingawa wamo wengine kutoka miji mikubwa ya Tanga, Zanzibar, Arusha na Morogoro. Aidha, idadi ya wanaume wanaoshiriki shughuli hiyo ndiyo kubwa.

Mkuu wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Godfrey Nzowa, amethibitisha kuwa watu hao 255 ni kweli wamewekwa chini ya uangalizi wa Mahakama na Jeshi la Polisi.

“Ni kweli, kuna watu tumewapeleka mahakamani. Huko wanawekwa chini ya uangalizi, wanatakiwa waripoti kwa muda wanaopangiwa. Tunafanya hivyo baada ya uchunguzi wetu kubaini kuwa kweli wanahusika na biashara hii haramu,” amesema Nzowa.

Nzowa amegoma kutaja majina ya watu hao, lakini uchunguzi uliofanywa na JAMHURI kutoka ndani ya Jeshi la Polisi na katika Mahakama umefanikisha kupata orodha ya majina hayo.

Katika orodha hii, yumo Mchungaji aliyewekwa chini ya uangalizi, na baada ya kumaliza muda huo siku tatu baadaye akakamatwa na dawa nchini Brazil. Pia yumo Sheikh anayetoa misaada mbalimbali, lakini baada ya kukamatwa na dawa kilo 211 eneo la Kunduchi, Dar es Salaam, kwa sasa amekimbilia nchini Afrika Kusini. Huyu ni mkazi wa Sinza maarufu kama Shikumba.

Dawa zinavyoingizwa nchini
Hadi sasa kiwango kikubwa cha dawa za kulevya kinaingizwa nchini kwa njia ya meli katika Bahari ya Hindi. Baada ya meli kuwasili Tanzania, wasafirishaji hutumia boti ndogo ziendazo kasi kuchukua dawa hizo na kuziingiza nchini. Maeneo yanayotumiwa zaidi kuingiza dawa ni Bagamoyo, Zanzibar, Dar es Salaam, Tanga na Mtwara.

Jijini Dar es Salaam, boti hizo hutia nanga katika eneo la Bagamoyo ambako pia ndiko kwenye njia kuu ya uingizaji bidhaa za magendo zisizolipiwa kodi. Biashara hiyo huwahusisha baadhi ya polisi ambao mara kadhaa wamekuwa wakiwapa ulinzi wahalifu hao.

Viwanja vya ndege vinavyotumiwa kuingiza dawa za kulevya ni vya Julius Nyerere (Dar es Salaam ) na Abeid Amani Karume (Zanzibar ). Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) unaripotiwa kuwa na matukio ya nadra ya matukio hayo.

Taarifa kutoka Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya zinasema wasafirishaji wanaotumia ndege wamekuwa wakibuni mbinu mbalimbali, zikiwamo za kutumia manukato kwa ajili ya kuwapumbaza mbwa wenye mafunzo ya kubaini dawa za kulenya.

“Wanatumia perfume, wanatumia kahawa kupaka juu ya mifuko walimoweka dawa hizo. Mbwa wanaponusa wanashindwa kubaini dawa kwa sababu kunakuwa na harufu ya manukato au ya kahawa,” amesema mmoja wa maofisa wa kitengo hicho.

Habari zaidi zinasema kitengo kimepata vifaa maalum vya kubaini kama ndani ya mzigo kuna dawa za kulevya. Vifaa hivyo ni mfano wa sindano ambayo huchomwa kwenye mzigo na kuipitisha kwenye ngozi ya mwili, kama kuna dawa ikigusishwa kwenye ngozi unga unapukutika na kama mzigo hauna dawa za kulevya hakuna kinachotokea.

Tayari vifaa hivyo vimeanza kutumika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na vimefanikisha ukamataji wa magwiji wengi.

Ifuatayo ni orodha ya wauza unga ambao Mahakama imewaweka chini ya uangalizi, kwa maana kuwa wanaripoti polisi kila wiki kutia saini kwenye kitabu maalumu na kuthibitisha kuwa wamejirekebisha au wameacha tabia hiyo.

MAJINA YA WAUZA ‘UNGA’
1 Mwaija Hussein
2: Ally Omar Issa
3: Huruma Elnaja
4: Michael Stanley
5: Mabunduki Mapunda
6: Dunia Seleman
7: Justine Theophil
8: Abdallah Mfundo
9: Mashaka Bakari
10: Subira Bakari
11: Islama Rashid
12: Dickson Anthony
13: Gati Maginga Kilanga
14: Munira Khamis
15: Maul Said Kaikai
16: Athuman Moshi Kassimu
17: Mwajuma Mrisho
18: Maison John Mateso
19: Minyori Ramadhan Mohamed Kungulo
20: Khamis Kassim Juma
21: Simon Philipo Milanzi
22: Juma Khamis (a.k.a. Wakupotezea)
23: Ally Abdallah
24: Happy Zacharia
25: Iddy Athuman
26: Mohamed
27: Julius Paschal
28: Evod John
29: Haji Maneno
30: Omary Ally Bweka
31: Mohamed Omary Khatibu
32: Hashim Mohamed Pongwa
33: Hery Jaffar
34: Ahmed Shebe Ameran
35: Iddi Maulid Shaweji
36: Khamis Omary
37: Ramadhan Omary
38: Ismael Yusuf
39: Juma Rashid
40: Kuruthum Hamad
41: Zakaria Mohamed Sasamalo
42: Abdallah Mussa Mshindo
43: Mohamed Abdul Tindwa
44: Mohamed Hashim Masheli
45: Akida Ernest
46: Hassan Athuman Naheka
47: Salehe Mohamed Abdallah
48: Stumai Chande
49: Batuli Adam
50: Raymond Gilbert Jungulu
51: Adam Godwin
52: Zidi Mselem
53: Kassim Ally Juma
54: Dyamwale Chizenga
55: Abdallah Juma Reani
56: Habibu Waziri Kipawa
57: Abdul Mohamed Mwaurwe
58: Amanzi Said Amanzi
59: Salum Zarafi
60: Billy Sohal
61: Shukuru Peter
62: Omary Mfundo
63: Salehe Hemed
64: Said Ismail
65: Monica Kulanga
66: Charles Mrisho
67: Mwanaid Athuman
68: Bruno Msuya
69: Kassim Said
70: Denis Charles
71: Hassan Mhando
72: Aclesy Haule
73: Salum Yusuf Kimwaga
74: Abedi Mfundo
75: Tunu Said
76: Fatuma Salehe
77: Mwajuma Salehe
78: Salum Khamis
79: Mbwana Mbaraka Mkanga
80: Daud Ally Chambuso
81: Ibrahim Ramadhan Mniga
82: Rozi Lukasi
83: Udugu Jumbe
84: Mohamed Kalota
85: Godwin Vitus Chacha
86: Eliasa Athuman
87: Mvano Ova Hussein
88: Mood Dudufued
89: Issa Dachi
90: Filbert Swai
91: Hussein Francis
92: Mirambo Hassan
93: Nasibu Abdallah
94: Tariq Salim Abass
95: Omary Said Mumomo
96: Zuberi Mwamba Mabruki
97: Abdallah Haji Mrisho
98: Khamis Athuman Khamis
99: Vodika Roosevelt
100: Dotto Shabani Mohamed
101: Twaef Mohamed Ghanim
102: Salum Hamis Ramadhan
103: James Benezeti Munishi
104: Rahim Abdul
105: Juma Stumai
106: Luti Elias
107: James John
108: Hussein Mbwana
109: George Renatus Masalu
110: Jamal Rashid
111: Asha Thabiti
112: Zaituni Abdallah – Mama Sued
113: Fatuma Juma – Mama Simba
114: Salama Juma
115: Juma Jamali
116: Juma Mussa
117: Abdulrahman Mbaraka
118: Maneno Said Kitungi
119: Mussa Salum
120: Hashim Ashirafu
121: Nyambuya Joel
122: Rashid Burhani Milanzi
123: Ally Mikidadi Ngunde
124: Mwijuma Ibrahim Kondo
125: Halifa Said
126: Shaban Said Makuka
127: Khamis Ramadhani Mgomba
128: Ruzuna Mwakasha
129: Rajabu Mohamed (Roger)
130: Athuman Chande
131: Shamin Azizi
132: Hashim Hashid Mashaka
133: Hussein Hamis
134: Ibrahim Rajabu
135: Mohamed Rajabu Mkali
136: Hatim Cheucheu Hungu
137: Hamis Uyoro (Kikoti)
138: Seif Hassan
139: Mnyamisi Mungia Khamis
140: Said Kisoka Said
141: Bakari Suleiman
142: Mwaita Mohamed
143: Asubisye Mwasumbi
144: Dalmat Jovin
145: Ally Rashid Dilunga
146: Mwinyi Seleman Mwachuo
147: Zinduna Ramadhan
148: Sanky Seleman (a.k.a Nzowa)
149: Karume Ngoi (a.k.a Karume)
150: Issa Thabit
151: Victor Patrick
152: Kiteguo Seif Ndumbikwa
153: Mbwana Mohamed (Liyobo)
154: Bonifasi Kulanga
155: Kidunda Omary
156: Amani Mavula
157: Mchola Bakari Majomba
158: Mohamed Simba Kassim
159: Asha Yusufu (Rasta)
160: Mshamu Njanga Abdallah
161: Zena Selemani Mwanaisha Abdallah
162: Ally Abdallah Pashua
163: Mbaruku Rashid Rajabu
164: Mohamed Jumbe Mohamed
165: Seleman Mohamed Masoud
166: Kabote Mfaume Kiboko
167: Selehe Hemed Lugongo
168: Muharami Mohamed Abdallah
169: Hatibu Nyamisi Nyangasa
170: Juma Alfan Hussein
171: Khariri Mohamed Khariri
172: Alfreda Anjelo Kulanga
173: Elly Hamis Mrisho
174: Iddi Haji Fumo
175: Ras Juma Ally
176: Ally Khatibu Haji
177: Hemed Juma Mrisho
178: Abdallah Hamza Said
179: Mohamed Noor Sheikh
180: Selemani Omary Zuberi
181: Hassan Masoud Ally
182: Akida Ayubu Akida
183: Bakari Abdurahman Bakari
184: Bashiri Mohamed Shallie
185: Jamal Rashid Ismail Mkoko
186: Ally Juma Said
187: Pili Ramadhani
188: Mosses Lwama
189: Mbaraka Shaban Muba
190: Richard Mbunda
191: Ayubu Mfaume Kiboko
192: Abbas Mohamed Hussein
193: Juma Hemed Tumbo
194: Sophia Joseph Ntembo
195: Said Hilal Abdallah
196: Thabit Juma Khamis
197: Suleman Bakari
198: Salum Abasi
199: Mustafa Omary Mwinyi
200: Alim Iddi Said Mwinyi
201: Othman Juma Othman
202: Shaban Kibwana Seif
203: Raymond Swift Mwakatwila
204: Abas Bachu Kasu
205: Jumanne Ramadhan Chambala
206: Irene Godfrey Mhina
207: Abdallah Abdurahman (Kidagaa)
208: Uwesu Ally Hussein
209: Zuberi Ally Mohamed
210: Khamis Seleman Khamis
211: Said Seleman Khamis
212: Mwarabu Bakari Mwarabu
213: Rajabu Shaban Juma
214: Ally Mohamed Seif
215: Mohamed Hassan Mkachika
216: Ally Bakari Mloli
217: Kelvin Daud Mchikinyi
218: Ally Mohamed Nyundo
219: Fatuma Juma (Mama Simba)
220: Shukuru Thabit Mtetwa
221: Mshamu Mjanga Abdallah
222: Zena Seleman (Mwanaisha Abdallah)
223: Ally Abdallah Pashua
224: Mbaruku Rashid Rajabu
225: Eliud Juma Mbwambo
226: James Patrick Mwangi
227: Hemed Abdallah Mwinyimvua
228: Juma Said Hussein
229: Haidery Mohamed
230: John Kauta
231: Mohamed Salehe
232: Doreen Josephat Urio
233: Richard Barnabas Mfundo
234: Soud Awadhi Mzee
235: Maneno Rajabu
236: Mdanzi Mjaja
237: Khalid Ramadhan
238: Soud Rasheed Soud
239: Issa Mangara Seid
240: Omary Salehe
241: Omary Ramadhan Yusuf
242: Mfaume Said Mugulo
243: Ramadhan Miraji Mkangata
244: Abdallah Nassoro Kimoko
245: 0mary Juma Mohamed
246: Ally Said Omary
247: Abdallah Nassoro (Kibwetere)
248: Mariam Yona M’ngata
249: Hussein Mohamed Hariri
250: Tom Juma Masoud
251: Frank Obed Shoo
252: Jaffar Kassim Jaffar
253: Karume Ngoi
254: Adamu Mohamed Monde
255: Liliani Kimei

Kutoka gazeti la Jamhuri.

1 comment:

Msafiri Kilimanjaro said...

Salalaaaaaa, jameni watanzania mnaelekea wapi...madawa chungu nzima...zogo..zogo...zogo...balaa sana.