Thursday, April 24, 2014

Aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, jaji mstaafu, Joseph Warioba, ameeleza wasiwasi wake juu ya lugha zinazotumiwa na wajumbe wa bunge maalum la katiba na kwamba hazimpi matumaini kama wanaweza kufikia maridhiano, huku akiwaonya wajumbe hao kuacha malumbano badala yake watafute njia ya kushirikiana.




No comments: