Saturday, July 26, 2008

Na Christopher Lissa

Mama mzazi wa mwanamuziki, Khaleed Mohamed ‘Top In Dar-TID’ Alhamisi ya wiki hii, alishindwa kuzungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake kutokana na kile kilichodaiwa na ndugu zake kuwa yu taabani kufuatia kifungo cha mwaka mmoja jela alichohukumiwa mwanae...


1 comment:

Anonymous said...

Pole mama TID. Mama wa watu ana majonzi kwa kufikiria jinsi mtoto wake watakavyomfanya huko Segerea. Labda usiku wa kuamkia leo jamaa wameshamvunja bikira kama wanavyosema wenyewe huko jela!!!!