Friday, July 31, 2009

iPhone 3 G S

yaanza kuuzwa leo




Kampuni za simu za Telenor na NetCom zimeanza kuuza iPhone 3 G S leo hapa Norway. Inagharimu hela nyingi kama mtu akitaka kuinunua taslimu. Vinginevyo, lazima mtu aiingie mkataba wa mwaka mmoja na moja ya kati ya hizo kampuni, na kulipa kiasi flani kila mwezi kwa kipindi cha miezi 12.


No comments: