Wednesday, July 29, 2009


Waliolishwa limbwata la kasumba

wasumbuliwa kwelikweli



Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Mpenzi Frank,

Lo! Wiki nyingine inapita na mpenzi wangu uko mbali vilevile. Unaendeleaje mpenzi wangu? Lini utaweza kudandia gari la lumbesa uje tuonane? Huwezi kudandia mara moja maana wakipunguza lumbesa na wewe utaweza kupenya kama panya? Au vipi mpenzi? Mimi ni mzima hofu kwako tu mpenzi (na labda katika kuhofika nadhoofika pia)….bofya na edenelea>>>>>


No comments: