Sunday, September 02, 2007


RICHA ADHIA NDIYE MISS TANZANIA 2007

Kutoka kushoto kwenda kulia: Queen David (mshindi wa pili), Miss TZ 2007 Richa Adhia na mshindi wa tatu Lilian Abel (kulia)


Miss popularity 2007 Helga Tarimo aliyebeba taji hilo na
kitita cha milioni 5 kesh. Nyuma yake wanafuata
Richa na anayebeba shela ni Lilian Abel.



Washindi wa tatu bora wa kwanza walibahatika kupata picha na Simba wa vita Mzee Rashidi Mfaume Kawawa na mkewe. Shoto ni mshindi wa pili Queen David, Miss TZ 2007 Richa Adhia na mshindi wa tatu Lilian Abel. Ikumbukwe Richa na Lilian walitokea Miss Kinondoni ambako nako walishika nafasi hizo hizo. Queen ni malkia wa Temeke.


Muhidin Issa Michuzi na Miss Tanzania 2007.
Jumamosi, Septemba Mosi, 2007


Miss world 2001 Agbani Derago ndiye aliyekuwa jaji mkuu
katika Miss TZ 2007 pamoja na
Miss TZ 2000 Jacquiline Ntuyabaliwe a.k.a K-Lynn


RICHA ADHIA NDIYE MISS TANZANIA 2007 BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA USIKU HUU KWENYE FAINALI ZA VODACOM MISS TZ PALE LIDAZ KLABU. MSHINDI WA PILI NI LILIAN ABEL AMBAYE KAMA RICHA KATOKEA WILAYA YA KINONDONI. WA TATU NI QUEEN DAVID AMBAYE NI MISS TEMEKE. TAJI LA BALOZI WA REDDDS AMBASSADOR LIMENYAKULIWA NA VICTORIA MARTIN AMBAYE NI MISS TANGA NA MISS KANDA KASKAZINI. HII NIMARA YA KWANZA TOKA MISS TZ IFUFUKE MWAKA 1994 KWA MBONGOMWENYE ASILI YA KIASIA KUNYAKUA TAJI HILO.


Picha na habari kutoka: http://issamichuzi.blogspot.com/

Risha interview after she won Miss Kinondoni:

http://bongocelebrity.com/2007/07/12/i-am-proudly-
tanzanian-miss-kinondoni-07/#more-73



No comments: