Saturday, March 29, 2008






Leo usiku wa manane saa 8

kuamkia Jumapili 30 Machi 2008

majira ya Kiangazi yanaanza

Ulaya ya Magharibi

(Central European Time = CET).

Hivyo basi sogezeni saa moja mbele.

Saa 8 za usiku sogeza saa na

kuwa saa 9 za usiku kuamkia

Jumapili 30 Machi 2008.

Kuanzia Jumapili 30 Machi 2008

kutakuwa na tofauti ya

saa moja na saa za Afrika Mashariki

(East African Time = EAT)



1 comment:

Anonymous said...

Asante sana bwana Semboja kwa kutukumbusha. Kazi nzuri.