MKUTANO MKUU WA
WANAFUNZI
WAKITANZANIA OSLO
(TASAO)
Kutakuwa na mkutano mkuu wa wanachama
wote na wanafunzi wapya.
Mahali: Norges Idrettshøgskole - Sognsvann
(
Tarehe: 29.03.2008
Muda: Saa 7:30 mchana - 11:00 jioni
Agenda:
1. Taarifa ya mwaka ya uongozi
2. Taarifa ya mhazini
3. Marekebisho ya katiba
(tafadhali isome katiba vizuri kabla ya mkutano)
4. Viongozi wapya
5. mengineyo
Wanafunzi wote wa kitanzania wanaosoma hapa Oslo –
Norway mnakaribishwa!
Uongozi – TASAO
No comments:
Post a Comment