Brazil yaingia nusu
fainali baada ya
kuifunga Kameruni
2 – 0
Dakika za nyongeza
Ronaldhino akijaribu kukumbukia enzi zake,hapa akijaribu kuwatoka wachezaji wa Kameruni
Wachezaji wa Naijeria, Efe Ambrose (nam.15), Chinedu Ogbuke Obasi(nam. 7) na Victor Obinna (nam. 9) wakishangilia goli dhidi ya Ivory Coast.
Katika mechi zingine za robo fainali,
Naijeria 2 - Ivory Coast 0
Argentina 2 - Uholanzi 1
Ubelgiji 3 - Italia 2
Nusu fainali:
Brazil vs. Argentina
Naijeria vs. Ubelgiji



No comments:
Post a Comment