Thursday, March 12, 2009


Baba ziro mtoto sifuri



Baba mmoja alikuwa akimchapa mwanae kwa kosa la kutofanya vizuri kwenye mtihani, mara mkewe akatokea na mazungumzo yalikuwa hivi:


Mke: Jamani mume wangu mbona unampiga mtoto kiasi hiki nhe?
Mume: Hana akili kabisa huyu 
Mke: Kwani kafanyaje?
Mume: Kakosa swali rahisi sana kwenye mtihani ananitia aibu
Mke: Swali gani?
Mume: Eti hamjui Rais wa Zanzibar ni yupi
Mke: Yeye kajibuje?
Mume: Eti kajibu Rais ni Lipumba wakati Rais wa Zanzibar ni Mrema 
Mke: Ebo! We ziro na mtoto pia sifuri...

Toka Global Publishers TZ.


No comments: