Wednesday, May 27, 2009

Mbio za sakafuni

zaishia ukingoni!

***

Barcelona yakata mzizi

wa fitina kwa kuwafunza

Manchester United jinsi

ya kulisakata kabumbu!

Magoli 2 kwa bila





Kombe


Thierry Henry akimpongeza Messi


Wahudumu kwenye fainali, uwanja wa Olimpiki mjini Roma


Mpenzi wa Barcelona


Lionel Messi, mchezaji bora.

Baada ya wapenzi wa soka wa timu hizo mbili kuwa na matumbo joto siku kadhaa, mechi ya fainali ilianza saa 20.45 Central European Time (CET) kwenye uwanja wa Olimpiki, mjini Roma. Manchester United ndo´walioanza kwa mashambulizi. Dakika 10 za kwanza, Christiano Ronaldo alikosa kosa kufunga mara tatu.

Barcelona wakaanza kutawala mchezo kwa pasi zao fupi fupi za haraka haraka na za uhakika. Barcelona wakicheza kwa fomesheni ya 4-3-3, walipata goli la kwanza. Dakika ya 9 ya mchezo, Iniesta alimtoka Anderson na kumtolea Eto´o pasi ya uhakika. Eto´o hakufanya mzaha, alimzunguka Namanja Vidic nakuudokoa mpira, Van Der Sar, kipa wa ManU hakuona ndani. Goli moja bila!!

Barcelona waliendelea na mchezo wao wanaouweza sana wa pasi za hapa na pale na za haraka haraka. Manchester United walibaki kukimbiza wachezaji wa Barca, na kujaribu kulinda goli lao.

Baada ya kipindi cha pili kuanza, kocha wa Manchester United, Sir Alex Fegurson alifanya mabadiliko kadhaa kwa matumaini kuwa labda wangeweza kuwabana Barca na kubadili mchezo. Wapi!

Dakika ya 70 ya mchezo, Xavi aliwatoka kwa kasi wachezaji kadhaa wa Manchester United na kutoa pasi murua ya juu, na Lionel Messi licha ya kuwa ni mchezaji mfupi kuliko wote uwanjani, alifunga goli la pili maridadi kwa kichwa na kukata mzizi wa fitina.

Ushindani wa nani mwanasoka bora duniani kati ya Ronaldo na Messi haukuwepo kwa Ronaldo hakufurukuta mbele ya Yahya Toure (mlinzi wa Barcelona), wakati Messi alikuwa kila akigeuka anakuta amezungukwa na wachezaji watatu au wanne wa Man Una alikuwa akiwateleza kama kambale! Mchezaji bora wa mwaka kwa maoni ya mhariri wa blogu hii ni Mwajentina, Lionel Messi. Na timu bora ya Ulaya kwa msimu wa 2008/2009 ni Barcelona.

Tunatoa pongezi na hongera kwa Barcelona na wapenzi wao kwa kuchukua ”The Treble”. Barcelona imekuwa timu ya kwanza ya Hispania kuchukua kikapu cha ushindani cha Hispania, ubingwa wa Hispania na Ubingwa wa Ulaya. Hii mara ya tatu kwa Barcelona kuwa mabingwa wa Ulaya.

Timu zilikuwa kama ifuatavyo:

Barcelona (fomesheni 4-3-3): Víctor Valdés - Carles Puyol, Gerard Piqué, Yaya Touré, Sylvinho - Xavi Hernández, Sergi Busquets, Andrés Iniesta - Lionel Messi, Samuel Eto'o, Thierry Henry.

Marizevu: José Pinto, Martín Cáceres, Eidur Gudjohnsen, Bojan Krkić, Seydou Keita, Pedro Rodríguez, Marc Muniesa.

Manchester United (fomesheni 4-3-3): Edwin van der Sar - John O'Shea, Rio Ferdinand, Nemanja Vidic, Patrice Evra - Anderson, Michael Carrick, Ryan Giggs - Ji-Sung Park, Cristiano Ronaldo, Wayne Rooney.
Marizevu: Tomasz Kuszczak, Dimitar Berbatov, Nani, Paul Scholes, Rafael, Jonny Evans, Carlos Tévez.

Refa: Massimo Busacca, Uswissi.

7 comments:

Anonymous said...

MAN U USED A LOT OF ENERGY AT THE BEGINING OPTING THAT BARCA HAS WEAK DEFENDERS, IT WAS NOT TRUE, REMEMBER YAHAYA TOURE, PUYOL AND CILIVINHO ARE GOOD AS EVRA, VIDC AND RIO SO NO DIFFERENCE IN DEFENCE. THE PROBLEM COME TO MIDFIELD AND SCORING.

TO BE HONEST MAN U USUALLY ALL TIME DEPENDS ON PRESSURING TO WIN, SOME TIMES WITH BIG GAME DOES NOT WORK, YOU NEED TO SETTLE­ AND PASS SKILLFULLY, LOOK AT THE SECOND GOAL.
IN ENGLAND YOU CAN RUN TOO MUCH AND TAKE THE TROPHY ITS OKAY, EVEN THIS YEAR MAN U DID SOMETHING AGAISNT BARCA, BUT LAST YAER AGAINST CHELSEA, IT WAS SHAMEFUL, JUST A LATE FATE DECIDE A TROPHY DIRECTION. SO MAN U DESERVE­ NOTHING THIS YEAR, FATE NEVER COME TWICE. BUT IF IT COULD BE AGAINST CHELSEA MAY BE, DEPENDING ON CHOICE OF START LINE OF CHELSEA. SO THIS IS LEARNING LESSON FOR LIFE TIME COACH FERGIE "SOMETIMES NO SHORTCUT"

Anonymous said...

FERGUSONS THOUGHT. PLAYING CENTER FORWARDS ON THE WING AND WINGERS UPFRONT AND PLAYING CARRICK AGAINST XAVI AND INIESTA HE HAD NO CHANCE.
BLAME FERGIEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!

Chama Cha Watanzania Oslo - CCW Oslo said...

barcelona outplayed and outshone,pep got his tacticts just right and thats why they won,messsi top man....iniesta and henry both played in pain and still
they won.

Maillot de foot pas cher said...

Messi joue dans un rôle d'attaque libre; joueur polyvalent, il est capable d'attaquer sur n'importe quelle aile ou par le centre du terrain.

Maillot FC Porto said...

Cristiano Ronaldo s'en va à la Juventus. Le monde du football essaie toujours de traiter cette nouvelle étonnante. Cela change aussi sous nos yeux.

Si le déménagement de Neymar à Barcelone a modifié le paysage footballistique mondial, le transfert de Ronaldo modifie l’alchimie du football mondial. C’est la première fois que l’un des deux meilleurs joueurs du monde change de club depuis Ronaldo lui-même en 2009.

Et à des degrés divers, cela a du sens pour toutes les personnes concernées. maillot de foot pas cher Ronaldo a ses raisons. La Juventus obtient la superstar qu’elle n’a pas eue depuis plus de dix ans. Le Real Madrid reçoit 117 millions de dollars et une chance de se reconstruire.

Mais le transfert est loin d’être une réussite pour tous. La complexité - et notre liste des gagnants et des perdants du transfert - commencent par Ronaldo lui-même.

Maillot Barcelona said...

Ce n’est pas le club que Zidane a laissé derrière lui. Le Real Madrid a remporté trois couronnes européennes consécutives sous sa direction de 2016 à 18, le premier exploit de ce type à l'ère moderne de la compétition, ainsi que la Liga en 2017.

Zidane a démissionné fin mai, invoquant un besoin de changement à la fois avec lui et avec le club. Le Real Madrid a fini par engager Julen Lopetegui, l'entraîneur de l'équipe nationale espagnole, Maillot de foot pas cher et l'a limogé à peine quatre mois plus tard.

Solari a géré le club entre-temps et l'a ramené dans les trois premiers de la Liga. Mais l'embarras de l'Ajax semble avoir été la goutte d'eau.

La seule ligue qui reste pour le Real Madrid est la ligue. Barcelone a 12 points d’avance et 11 matches à jouer. Il faudrait donc un effondrement épique du plus grand rival du club, le plus féroce.

maillot de foot 2021 said...

Voici une partie de leur réaction au maillot de foot pas cher match de Piątek contre SPAL:

Mark Nokes: Un but et une passe décisive pour Piatek ce soir, il ne viendra pas à Villa, alors!

Farria: Piatek vient de marquer pour Milan, superbe finition également.

Paul Bennett: opinion impopulaire peut-être, en regardant Piatek sur BT Sport en ce moment, et il ne regarde pas du tout cela, certainement pas une valeur de 30 mètres sur cette preuve.

Simon Bunn: Piatek a commencé devant Ibrahimovic ce soir et vient de marquer après 20 minutes pour Milan. Je pense que les fans de Villa doivent abandonner cette rumeur. Slimani est plus réaliste à ce stade, et je suis d'accord avec ça.

Le journal italien Gazzetta dello Sport a déclaré que tandis que Piątek est toujours impliqué dans la première équipe, Milan est prêt et attend des offres sérieuses pour l'attaquant polonais.

Villa cherche une aide saisissante pour lutter contre la relégation. Dean Smith est sans attaquant de l'équipe première en raison de la grave blessure au ligament de Wesley. L'attaquant remplaçant Jonathan Kodjia est prêt à s'éloigner tandis que Keinan Davis reste blessé.