Friday, July 01, 2011
Wasio na makaratasi wana haki ya matibabu ya dharura.
Waziri wa afya wa Norway, Bi. Anne-Grete Strøm-Erichsen, amesema kuwa watu wazima na watoto wasio na vibali vya kuishi hapa Norway, wana haki ya matibabu ya dharura.
Chanzo: Shirika la habari la Norway (NTB)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment