Friday, July 10, 2009

Obama na Sarkozy

wanaambiana nini?

Obama: Eeeh bwana eee...check wo! wo! wo!

Sarkozy: Duh...bab´kubwa...


Picha hii imepigwa na Jason Reed wa Reuters

jana jioni kwenye mkutano wa nchi 8 zilizoendelea

na zenye viwanda, kwenye mji wa

L'Aquila nchini Italia.

Hapa Rais Obama wa Marekani sijui anamwambia

nini Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa?

Picha hii itakuwa mzimu wa Obama.

Itamwandama miaka mingi ijayo!!!!

Toa maoni yako....

7 comments:

Anonymous said...

Namwonea huruma Obama, manaake Michelle ni mkali na ana hasira sanaaa. Sijui ameambia nini na Michelle.

Tausi Usi Ame Makame said...

Wanaume ni wanaume tu, dada wa watu anajiptia zake, midume imegeuka kuangalia matako ya dada wa watu....

Saa zote midume inawaza nanihiii...

Anonymous said...

OBAMA: Sarkozy, angalia vitu hivyo

SARKOZY: wooo weeee !!!!

Anonymous said...

HIVI JAMANI, NINI KINAWAFANYA WANAUME KUPENDEZEWA NA MATAKO YA WANAWAKE? HASWA WANAUME WENYE ASILI YA AFRIKA

Anonymous said...

Lakini jamani tuache uongo. Dada wa watu kajaliwa. Si haba!!!

Anonymous said...

Nadhani kwenye haya ya maumbile ya binadamu, tunatofautiana duniani.

Wenzetu wazungu (kijumla si wote) wanapenda wanawake wenye matiti makubwa na makalio madogo.

Sisi wenye Waafrika (na wote wenye asili ya Afrika) pamoja na Walatino tunapenda wanawake wenye makalio makubwa....

Sijui wanaume kutoka Mashariki ya mbali wanapenda nini..

Anonymous said...

Mwelekeo ya macho ya Obama na hasa ya Sarkozy yalikuwa kwenye matako ya huyo dada!!!