Monday, November 30, 2009

Waswiss wapiga kura

kukataa misikiti yenye

minara!



Msikiti wa Geneva




Bango la kampeni la chama cha SVP.


Jana Jumapili Waswiss wamepiga kura ya maoni na kukataa kwa wingi wa kura zaidi ya asilimia hamsini na saba kujengwa kwa misikiti yenye minara nchini humo. Chama cha wahafidhina wenye siasa kali zenye kupinga wageni nchini humo; Swiss People´s Party (SVP), ndicho kilichosababisha upigaji huo wa kura za maoni. SVP wanasema minara kwenye misikiti ni ishara na dalili za kuenea kwa Uislamu. Wachunguzi wengi wa mambo ya kijamii na kisiasa wanadai kuwa wingi wa kura hizo si za kupinga minara tu kwenye misikiti, bali ni za kupinga mambo yanayofanywa na Waislamu wenye siasa kali za uhafidhina, ambayo yanapingana na demokrasia za nchi za Magharibi. Hizo ni ishara za Waswiss kuhofia Uislamu.

Waziri wa sheria wa Uswiss, Bi. Eveline Widmer-Schlumpf amesema kuwa wanaangalia jinsi gani wingi huo wa kura za maoni utakavyoingizwa kwenye sheria za nchi hiyo.

Kwa sheria za Uswiss, chama chochote kinachoweza kukusanya saini za watu 100 000 tu kinaweza kuitisha kura ya maoni ya nchini nzima. Na hivyo ndivyo SVP ilivyofanya, na kuweza kuitisha kura hiyo ya maoni. Kwa kipindi cha miezi 18, SVP imefanya kampeni ya kuokota hizo saini. Kuna Waislamu 400 000 na misikiti mine tu yenye minara.

Kura hizo za maoni zimeshtua wapenda haki za binadamu duniani, lakini vile vile zimeamsha hamasa kwa vyama vingine vyenye siasa kali za uhafidhina na wasiopenda wageni, kuhimiza kura za maoni za namna hizo kwenye nchi zao. Nchini Ufaransa kumekuwa na kampeni kubwa za kupinga wanawake kuvaa hijabu na mabaibui makazini na mashuleni na walioendesha kampeni wamefanikiwa. Hijabu na mabaibui yamepigwa marufuku makazini na mashuleni. Nchini Ujerumani, kumekuwa na mikingamo ya kupinga kujengwa kwa msikiti mkubwa kuliko yote iliyoko Ulaya Magharibi.

Imeandikwa na mhariri wa blogu.

Bofya na angalia:http://www.islamophobia-watch.com/

Bofya na angalia:http://infidelsunite.typepad.com/

Waziri wa sheria:

Kuziba nyufa za sheria za

wageni kuingia Norway


Waziri wa sheria, Knut Storberget


Waziri wa sheria, Bw. Knut Storberget, amesema leo kuwa ana mpango wa kupeleka mswada Bungeni (Stortinget) wa kuzuia mtiririko wa watu wanaokuja kuomba hifadhi za ukimbizi. Amesema kuwa Norway itashirikiana karibu sana na nchi za EU kuhakikisha kuwa wanaoingia nchini ni kweli wana hadhi ya kuomba ukimbizi.

Storberget ameongeza kuwa inawezekana kabisa kuzuia watu kuingia kiholela bila kuvunja haki za binadamu. Mswada huo utawakilishwa Bungeni mwakani.

Tanzania President in the Jamaica Parliament






online.







Sunday, November 29, 2009

Tiger Wood's Wife Whooped Him

With A Golf Club For Cheating?

(CNN Asks Suspicious Questions To

Cop Bout Tiger's Alledged Car Accident)



Hajj reflections

PUBLIC LECTURE @






TOPIC: EDUCATION FOR ALL –

IN WHOSE LANGUAGE?



Presenter: Prof. Emeritus Dr. Birgit Brock-Utne,

University of Oslo, Norway (UiO)


Venue : Nkrumah Campus Hall

Tuesday 1st of December, 2009

Time : 10:00 – 11.00 EAT




All developed countries in the world use children’s mother tongue or at least a language which is very familiar to them as the language of instruction. The Finns use Finnish, the Greeks use Greek, the British use English, Norwegians use Norwegian, the Icelanders use Icelandish, the Japanese Japanese, the Koreans Korean. Only one continent uses languages which teachers and students do not command well, languages which in reality are foreign languages. That continent is Africa.

The current strengthening of English as language of instruction in Tanzania is one way of making schooling harder for the masses of Africans and undermining democracy since only a tiny portion of pupils, those whose parents have books and resources, can pay private tutoring and have time and knowledge enough to follow up their children’s homework, will do well in the system. It is a system well designed for what Prof. Dr. Birgit Brock-Utne has elsewhere called “the stupidification” of the African population.

In her talk she will mention results from the LOITASA (Language of Instruction in Tanzania and South Africa) project. She mentions a study of science concepts carried out as part of the LOITASA project in a black township near Cape Town. According to her the study showed clearly how much better children understood the concepts when they were taught in isiXhosa than when they were taught in English.

A similar study from Tanzania found that the mean was higher and the spread of scores was much lower when the class was taught in Kiswahili than when it was taught in English. On this background the new policy (look at the story below from Daily News) from Zanzibar seems to contradict all we know about learning science and maths.

In the LOITASA project they have seen that there are several challenges they have to deal with if they want to make language policy research relevant for those most greatly affected by the policy.

There are misconceptions in this field which are hard to deal with. Often western paradigms are used when researching language policy in Africa. These paradigms, which do not fit the African situation, are used by donor agencies and researchers trained in the west as well.

Another challenge to overcome is the common misconception that the best way to learn a foreign language is to have it as a language of instruction. Prof. Dr. Birgit Brock-Utne will deal with these two challenges separately.

Issued by the Public Relations Office

State University of Zanzibar


To use English as medium of instruction



ISSA YUSSUF in Zanzibar, 28th November 2009



ZANZIBAR plans to make English language a compulsory medium of instruction in primary schools, the Zanzibar Minister for Education, Mr Haroun Ali Suleiman, said here today.

Other proposed major changes in the Zanzibar education system include a compulsory two-year nursery school.


"This is the implementation of the 2-6-4 education policy endorsed in 2006, whereby nursery school will take 2 years, primary school 6 years, and 4 years for secondary school.


Mr Haroun told reporters at the newly built 'SHA Investment' Secondary School,
Mombasa area that beginning 2012, English would be the medium of instruction. It begins with Standard Four.

He said that the implementation of the new system was supported by the British Council, which has promised to run English training programme for teachers.


However, the minister said that the ministry would no longer accommodate certificate
students. "We have enough teachers with certificates. There are more than 2000 extra Grade III A teachers," he said.

The director of the SHA investment, Mr Ahmada Yahya Abdulwakil, said that he has been working closely with the Ministry of Education and Vocational Training in construction of the new school, since February 2006.


Mr Ahmada said that his school would accommodate the best performing students including offering scholarships to students with good marks from poor families."More than 2bn/- has been spent in constructing the school. It has a modern library and Information Communication and Technology (ICT) centre," he said.

Daily News (Tanzania)

Work at Draka


Product Manager


Cable Solutions for the Marine,

Oil and Gas market


Do you have an exceptional ability to translate the

customers need into product solutions and concepts?

Do you enjoy managing the entire product lifecycle

from strategic planning to tactical activities?

Do you see yourself as a driver of internal

development processes to reach out goals?

Do you want to contribute to the success of

an international sales team?


For additional information and application,


please visit our homepage www.draka.no


Application deadline 15th. December 2009.


For questions regarding the recruitment process,

please contact: Hege Kræmer;

Telephone: +47 32 24 92 30

E-mail: hege.kraemer@draka.com

























Tanzanian students warned

against cramming information

when reading




By Friday Simbaya

28TH NOVEMBER 2009

A Doctor of Philosophy (PhD) student at the University of Joensuu of Finland, Department of Computer Science and Statistics, Marcus Duveskog has challenged students to desist from memorizing things and instead, concentrate on building skills.

Dr Duveskog said this yesterday during computer exhibitions where at least 16 kids were presented certificates at Ukombozi Primary School after two very intensive weeks of learning at the school in Iringa Muncipal Council in Iringa Region.

Duveskog who is also a researcher at Tumaini University, Iringa Campus, said that the education system in Tanzania has made most of the students both in primary and secondary schools and even in higher learning institutions to memorize things, something which denies them building on skills creativity.

“Students should not memorize things but should learn to understand things to answer examinations questions,” he emphasized.


Ukombozi Primary School is the first public primary school in Tanzania which has received 100 XO Mini computers with Internet-connection, through One Laptop per Child (OLPC) campaigns. One Laptop per Child is a campaign to provide some of the world’s poorest children rugged, low-cost and energy efficient laptops with Internet connectivity and learning software.

Parents and guardians were amazed during the computer exhibitions, of what the kids achieved, and the headmaster of Ukombozi Primary School, Martin Yesaya, took the chance to market his school as a unique one in Tanzania.

Yesaya admitted that his school has a shortage of teachers to teach English language, thus making
students fail to cope with the world of science and technology as everything is done in English.

Dr Duveskog concurred that most primary and secondary schools in Tanzania are facing an acute shortage of English language teachers, which made it difficult for him to communicate with students and forced him to look for an interpreter during the intensive workshop which was dubbed the ‘Working for my Dreams.’

The workshop was organized by University of Joensuu, Finland in collaboration with Tumaini University-Iringa, Tanzania.

Earlier on, three Tumaini University-Iringa College’s Information Technology (IT) students had won a grant from the One Laptop per Child (OLPC) Association in the United States of America, to deploy laptops to children at Ukombozi Primary School in Iringa.

In March 2009, OLPC Association announced a competition for projects that develop children’s skills with computers. By doing so, the OLPC aimed at bridging the digital divide between children of industrialized countries and those from developing countries.

In the race, 220 applications worldwide plus a team of Tumaini University IT students made it to the 30 selected universities. Tumaini University’s team is one of the few purely African teams to win the grant. However, Uruguay has become the first nation to provide a laptop for every primary school student in the world.

Friday, November 27, 2009


Tunapenda kuwatakia

kila la heri Watanzania

wote popote mlipo,

katika sikukuu hii

adhimu ya Kuchinja

Eid Al Adhah/Eid El Hajj.



*************


Kutoka kwa

Ghafla vijana tumeanza

kuonekana lulu!




Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,

Uzitoni Street,

Bongo.

Mpenzi Frank,

Nilijua tu utacheki na kucheka ung’eng’e wangu. Potelea mbali, hata Waziri Mkuu wa Japan hawezi kuongea Kiingereza! Lakini kwenda kuwasomea marafiki zako mpenzi ... vibaya hivyo jamani! Bila shaka walimcheka sana mchumba wako hata kama na wao hawawezi pia. Sijui lini tutaacha kutumia lugha ya wengine kama kigezo cha maendeleo. Lakini pamoja na vicheko vyako, nakumiss, nakumiss, nakumiss sana. Natamani kuimba ... usende mbali nami ... mimi nakupenda, usondoke mbali na mi ... lakini ukweli ni kwamba uko mbali hivyo bora niimbie sogea karibu na mii ... mimi nikupendee ... njoo karibu namii ... nikukumbatie ....

.....bofya na endelea>>>>>

Mtikisiko wazuka Baraza

la Mawaziri




SIKU chache tu baada ya kutuma ujumbe kwamba akipita mwakani hatabeba mawaziri wazee, Rais Jakaya Kikwete ameanza kutekeleza azma hiyo kwa kuwatangazia mawaziri wake kwamba amechoshwa nao kwa kuwa hawamsaidii, imefahamika.

Habari ambazo Raia Mwema imepata zinasema kwamba Rais Kikwete na hata wasaidizi wake, Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, wamekuwa wakali isivyo kawaida yao katika vikao vyao vya kazi...bofya na endelea>>>>>

Thursday, November 26, 2009

Kina Tenga hata Japan wapo?



Is It Better To Be Mixed Race?



4 reports "Geneticist” Aarathi Prasad considers the theory that mixed-race humans are blessed with innate advantages, something farmers recognise in plants and animals as hybrid vigour. This idea is regarded as repellent by both dingbat racists and, as Prasad discovers, by many mixed-race people who object to being defined by their skin colour.. Before 1967, it was illegal in 16 American states for a black person and white person to marry.


OH My Goodnessss: Vicious Bear Brutally Attacks Helpless Man at the ZOO! *WARNING*

The following video contains material suitable for adults only. If you have a weak constitution or are easily offended by scatological or scared for animals, please do not continue....


Wednesday, November 25, 2009

Norway


Mtu wa 25 afariki kwa mafua ya nguruwe


Leo hii mtu mmoja mwenye miaka 25 amefariki kwa mafua ya nguruwe hapa Norway. Mtu huyo amefariki kwenye mkoa wa Oppland na amekuwa wa 25 kufariki kwa mafua ya nguruwe nchini. Kufariki kwa mtu huyo kumethibitishwa na mganga mkuu kwenye idara ya afya (Folkehelseinstituttet) Dk. Bjørn Iversen. Watu 60 wamelazwa kwenye hospitali mbali mbali na 13 kati yao wako mahututi.

Karibu watu wote ambao wako kwenye makundi ya watu wasio na afya nzuri, wameshachanjwa dawa za kuzuia ugonjwa huu, na wiki hii wanafunzi kwenye shule za msingi hapa Oslo, wameanza kuchanjwa.

Kumekuwa na watu wanaotilia mashaka dawa za kuzuia mafua zilizokubaliwa kutumika hapa Norway (Pendemrix). Wengi ya watu wa kundi hili wamefikia hatua ya kukataa kuchanjwa kwa kuhofia athari na madhara ya muda mrefu ya Pendemrix.

Kwa maelezo zaidi bofya na soma viungo hapo chini

http://www.helsedirektoratet.no/vp/multimedia/archive/00269/ENGELSK-201109_269459a.pdf

http://www.helsedirektoratet.no/vp/multimedia/archive/00248/Engelsk_-_Kort_publ_248269a.pdf

http://www.pandemi.no/pandemi/information_regarding_the_new_influenza__swine_flu__392754