Chemsha maji ya kunywa!
Hivyo wakazi wa Oslo na Ski wanashauriwa kuchemsha maji ya kunywa, kuanzia sasa hadi Alhamisi tarehe 18 Februari 2010.
Chanzo (kwa Kinorwejiani): Idara ya Maji, Manispaa ya Oslo.
Angalia pia (kwa Kinorwejiani): http://www.fhi.no/dav/e082bd5f30.pdf

1 comment:
Asante sana jamani. Hizi habari muhimu sana...
Post a Comment